WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 23/09/2013.
[Mikoa ya Kagera, Kigoma,
Mara na Mwanza ]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mkoa wa Shinyanga ]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Dar-Es-Salaam,
Pwani na Tanga]:
[Mikoa ya Morogoro Kusini
na Iringa ]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Mtwara , Lindi
na Ruvuma]:
[Mikoa ya Rukwa,
Tabora na Mbeya]:
[Mikoa ya Singida na
Dodoma]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA
NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
22°C
|
13°C
|
12:24
|
12:30
|
D'SALAAM
|
33°C
|
20°C
|
12:13
|
12:19
|
DODOMA
|
29°C
|
16°C
|
12:27
|
12:33
|
KIGOMA
|
28°C
|
21°C
|
12:57
|
12:58
|
MBEYA
|
26°C
|
13°C
|
12:36
|
12:41
|
MWANZA
|
30°C
|
19°C
|
12:38
|
12:44
|
TABORA
|
32°C
|
19°C
|
12:39
|
12:45
|
TANGA |
30°C
|
22°C
|
12:14
|
12:20
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
24°C
|
12:13
|
12:19
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi
ya km 30 kwa saa; kwa Pwani
Kaskazini
kwa kasi ya km 20 kwa saa; kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumatano:
25/09/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 23/09/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.