Si unajua sasa hivi ni wakati wa uhamaji wa nyumbu kule serengeti na masai mara, sasa chui mmoja bila kujua kuwa kuna nyumbu wengine wanachukua tution ya ngumi kwa bondia Cheka, akajipeleka kizembe kwa lengo la kumfanya msosi nyumbu.
Haa! alichokipata kama angekuwa anaweza kusema basi angetusimulia, alipigwa pembe la uoga na la kujiokoa la nyumbu, chui akageuza alikotoka na kuondoka speed ya Usain Bolt.
Tazama mlolongo mzima wa tukio lenyewe, tokea anaanza kunyatia hadi anapopewa dozi.