Arusha Hotel hadi kufika hapo ilipo leo imepitia kwenye mikono ya watu wengi, awali ilikuwa ikimilikiwa na serikali lakina baadae ikabinafsishwa na siku hizi inamilikiwa na mhindi mmoja hivi, kwa wale wenye info na kumbukumbu zaidi naomba kushare nami. lakini kwa leo nimewaletea picha za hoteli hiyo inavyoonekana toka mwaka 1906 na 2013
1906
1968
2013