Big reward for lead to arrest of `poachers`

BY IDDA MUSHI Police in Morogoro Region are looking for suspected poachers who abandoned their vehicle and ran off after police st... thumbnail 1 summary



BY IDDA MUSHI
Police in Morogoro Region are looking for suspected poachers who abandoned their vehicle and ran off after police stopped them.  Thorough search of the abandoned vehicle revealed a consignment of ivory estimated at close to 30m/- and police have pledged a ‘large reward’ to any with information that will lead to the arrest of the fugitives.
The Udzungwa Mountains National Park in collaboration with the police in Morogoro Region has succeeded to impound 18 pieces of elephant tusks worth 29.4m/- following a tip off that led to the dramatic ambush of the suspect’s vehicle.
The Morogoro Regional Police Commander, Faustine Shilogile, reported the incident to have occurred over the weekend on Saturday evening at approximately 5pm in Mto Mwaya Mang'ula in Kilombero District.
The suspect’s vehicle, a grey Mark II, registration T557 AYR, has been impounded but not after the suspects abandoned it on the road side after been pulled over.  No report has been released as to the vehicle’s ownership or whether it was a stolen.
The RC recapped the incident saying the suspects (whose number was also not specified) were headed out of Ifakara town and when pulled over, they complied but then took off on foot into nearby bushes leaving behind their consignment of elephant tusks in the car.
The police gave chase but to no avail and as of now, no reports have been issued as to the suspect’s whereabouts or any lead towards tracking them down. Initial investigation reports have also not been availed and it is not yet known whether the suspect’s finger prints (if any) have been lifted off the vehicle and/or the retrieved property.
Chief Conservator of the Udzungwa Mountain National Park, Vitalis Turuka, has reason to believe that the 34 kilos of elephant tusks were probably obtained from Ifakara or Mahenge after at least nine elephants were killed in the days past.
Last year, another consignment was impounded in the same park, in that case a suspect is in custody and the case is ongoing.

SOURCE: THE GUARDIAN

Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com

Manispaa Moshi yadaiwa kuhujumu uwanja wa ndege

na Rodrick Mushi, Moshi NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Charles Tizeba, amesema amefedheheshwa na kitendo cha uongozi wa manispaa ya Moshi kutak... thumbnail 1 summary

na Rodrick Mushi, Moshi
NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Charles Tizeba, amesema amefedheheshwa na kitendo cha uongozi wa manispaa ya Moshi kutaka kuua uwanja wa ndege wa Moshi kwa kugawa ardhi ya uwanja kwa baadhi ya watu.

Mbali na hilo alisema pia kuna mkanganyiko wa mchoro wa uwanja huo wa awali baada ya kubadilishwa.
Tizeba alisema hayo mjini hapa jana baada ya kufanya ziara yake kwenye uwanja huo akiwa ameambatana na Mbunge wa Jimbo la Moshi, Philemon Ndesamburo.
Katika ziara hiyo walizunguka maeneo mbalimbali ya uwanja huo na kujionea ujenzi uliofanyika ndani ya uwanja huo.
Akizungumza kwenye kikao kilichofanyika ndani ya uwanja huo, Tizeba alisema kufa kwa uwanja huo kunachangiwa na watu wa Moshi wakiwemo baadhi ya viongozi wa manispaa.
Kutokana na hali hiyo alimtaka kufika Ofisa Mipango Miji, Alex Poteka, ambaye alifika muda mfupi huku majibu yake yakionyesha kutomridhisha naibu waziri huyo.
Awali akitoa malalamiko kwa Waziri Tizeba, meneja wa uwanja huo wa ndege, Francis Massao, alilalamika kuomba michoro ya awali ya uwanja huo toka kwa uongozi wa manispaa akiwamo ofisa mipango miji, Poteka, kwa kuandika barua bila mafanikio.
“Hivi ni wapi au ni uwanja gani wa ndege unaoweza kuongoza ndege huku kukiwa kuna nyumba imejengwa katikati ya uwanja!?” alisema Massao.
Tizeba alisema kuwa uwanja wa Moshi ni uwanja mkongwe kuliko yote ila umechoka kutokana na kutofanyiwa ukarabati muda mrefu.
Kwa upande wake, Poteka alijitetea kuwa hana taarifa kamili juu ya watu waliojenga kwenye eneo hilo la uwanja.

Chanzo: Tanzania Daima

Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com

Wizara kuanzisha kitengo kudhibiti mazingira

na Shehe Semtawa WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk. Trezya Huvisa, amesema wizara hiyo inatarajia kuanzisha Kiten... thumbnail 1 summary



na Shehe Semtawa
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk. Trezya Huvisa, amesema wizara hiyo inatarajia kuanzisha Kitengo cha Polisi kitakachosimamia utunzaji wa mazingira na kuwakamata wale wote wataochangia kuyaharibu.
Huvisa alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana, alipozungumza na waandishi wa habari, kuhusu maadhimisho ya Siku ya Mazingira itakayofanyika Machi 3 kwenye viwanja vya Tanganyika Parkers.
Alisema kitengo hicho kitafanya kazi ya kuwadhibiti watu wanaofanya uharibifu wa mazingira kwa kushirikiana kwa karibu na jamii ambayo inawatambua baadhi yao.
“Ni vema tunapoadhimisha siku hii tutafakari kwa kina changamoto mbalimbali zinazochangia uharibifu mkubwa wa mazingira,” alisema.
Alisema siku hiyo imetengwa kwa lengo la kukumbushana juu ya umuhimu wa kutunza na kuhifadhi mazingira barani Afrika.
Aidha, alimtaka kila mmoja kutumia fursa hiyo kwa kuelimisha na kukumbushana kuhusu wajibu wa kuyatunza mazingira kwa manufaa ya kila mtu na vizazi

Chanzo: Tanzania Daima


Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com 

ESTABLISHMENT OF A NEW INTERNATIONAL TRAVEL AND TOURISM FAIR IN TANZANIA

In the bid to promote tourism in Tanzania, the Tanzania Tourist Board (TTB) in partnership with Witch & Wizard Creative (Pty) Ltd, Sout... thumbnail 1 summary
In the bid to promote tourism in Tanzania, the Tanzania Tourist Board (TTB) in partnership with Witch & Wizard Creative (Pty) Ltd, South Africa, have agreed to establish an International Tourism Fair in Tanzania to be known as Swahili Tourism Fair effective from October, 2013. 

The Agreement be signed on February 25, 2013 at the Mlimani City Conference Centre, Dar es Salaam, allows TTB to work with Witch & Wizard Creative (Pty) Ltd, which is the company that manages the INDABA in Durban (South Africa), one of the largest tourism marketing events on the African calendar and one of the top three ‘must visit’ events of its kind on the global calendar. 

INDABA is owned by South Africa Tourism Board and attracts well over 13000 delegates from various travel, tourism and related industries around the world. It is expected that the Swahili Tourism Fair will grow and eventually become as famous as the INDABA of South Africa and will hence be the iconic annual event for travel and tourism promotion in Tanzania.

The planning for Swahili Tourism Fair has taken cognizance of the continued existence of Karibu Travel & Tourism Fair (KTTF) which has been running in Tanzania since the year 2000, and the need to ensure that, the two fairs complement each other. 

 KTTF which is held in Arusha in June each year focuses on the regional market, while the Swahili Tourism Fair will be held in Dar es Salaam in October each year and will exclusively focus on international clientele. TTB undertakes to work with KTTF to ensure that the same KTTF grows and attracts more regional clientele so that in the long run, Tanzania may join other countries in the world in promoting events tourism with more than one international tourism fair.

Dar es Salaam has been strategically selected as a place for staging the fair because of its geographical location, adequate air access; the existing ‘state of the art’ and readily available infrastructure and amenities suitable for establishing an international tourism fair. The first Swahili Tourism Fair will be held from October 2 – 5, 2013 at the Mlimani City Conference Centre. It is a facility with finishes of an international standard; high quality concertina type stacking doors with full range of conference facilities and amenities.

 It is equipped with power, lighting, wireless internet connectivity and provides international quality conference space. There are shopping centers, banks, food joints, adequate parking and drop off zones and generous foyers wrapping round the building. Indeed, this ultra-modern design facility, matches the world standard for staging an international tourism fair and has met the requirements of Witch & Wizard.

The Tanzania Tourist Board advises all tourism operators to upgrade their accommodation facilities ready to tap these potential upcoming visitors.
Chanzo: Jiachie
Copyright 2007 ©MICHUZI JR

Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com

Wandering wild animals threaten people’s lives in Morogoro District

Residents  of Morogoro District are living in constant fear due to wandering wild animals in residential areas as the animals’ territ... thumbnail 1 summary

Residents  of Morogoro District are living in constant fear due to wandering wild animals in residential areas as the animals’ territories have been destroyed by the human activities.
Speaking to journalists, in Ngong'olo village, Morogoro District, immediately after the villagers killed a lion that had threatened their lives, Ande Malango, the Morogoro District Wildlife Officer said there has been an increased trend of herders invading habitats for wild animals with their cattle. 
“This has made some wild animals leave their natural habitats and wandering in the community,” said Malango.
Malango adding that the problem persist for sometime before a permanent solution is found, calling people to be cautious as some wild animals have reached the Eastern Arch of the Mountains whereby the Ngong’olo hamlet is just behind the mountains.
For his part, the Ngong'olo village chairperson, Thones Mbena, said on on Saturday, as he was going to the Village Community Bank (Vicoba) office, he received information that a lion was spotted in his village, and therefore he sought assistance from a villager known as Linus Lyela, who owned a gun, and thus successfully killed the lion.
He said apart from seeking Lyela's support, he also informed the Pangawe Village Chairperson, who in turn sought for further support from the District Wildlife Department.
Avent Jonas, a resident at the hamlet, who narrowly escaped from being killed by the lion in the process of hunting him down, said as they were searching for the lion, he suddenly came face to face with the animal thus quickly climbed to a tree to save his life.
Incidents of wild animals invading people's residences have been on the rise, whereby earlier last week in Kinole Ward; a lion was killed after having threatened lives of the villagers of Mwalazi, Bamba and others.

SOURCE: THE GUARDIAN

Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com

Nyumbu wanaozaa vitoto wavutia watalii 16,500

WATALII na watafiti 16,500 wa masuala ya wanyamapori kutoka mataifa mbalimbali duniani wamefurika katika Hifadhi ya Taifa Serenget... thumbnail 1 summary

WATALII na watafiti 16,500 wa masuala ya wanyamapori kutoka mataifa mbalimbali duniani wamefurika katika Hifadhi ya Taifa Serengeti, kushuhudia tukio la aina yake la nyumbu zaidi ya 8,000 kuzaliwa kwa siku, katika kipindi cha wiki sita.

Nyumbu hawa, wameanza kuzaliwa mapema mwezi huu na baada ya wiki sita wanatarajiwa kuzaliwa 500,000 lakini kati ya hao, karibu nusu yao, huliwa na wanyama wengine, wakiwapo simba, fisi na mamba kabla ya kukua huku wengine wakifa kutokana na kupotezana na wazazi wao.

Hifadhi hiyo yenye zaidi ya nyumbu 1.5 milioni, ina jumla ya simba 3,000 na fisi 7,500 ambao ndio walaji wakubwa wa nyama katika hifadhi hiyo.

Wakizungumza na waandishi wa habari, baadhi ya watalii hao, toka nchini Ubelgiji, Uingereza, Marekani na Ufaransa, walieleza kuvutiwa na tukio hilo, waliloliita kama “The Great Migration” .

Robert Joseph Raia wa Ubelgiji alisema, wamevutiwa sana na tukio la idadi kubwa ya nyumbu kuzaa kwa wakati mmoja.

“Ni tukio la ajabu duniani kila siku hapa nyumbu zaidi ya 8,000 wanazaliwa na watoto baada tu ya kuzaliwa dakika tano hadi nne,wanatembea”anasema.

Nicky Johnson raia wa Ufaransa, anaeleza kuwa, huu ni mwaka wake wa kwanza kufika Tanzania na Serengeti na alikuwa akiona kwenye mikanda ya video tukio la nyumbu zaidi ya 1.5 milioni kuhama na baadaye wakiwa Serengeti wanavyozaa na kuendelea na safari yao.
“Hili ni tukio zuri, sikuwahi kuliona sehemu yoyote duniani,hili ni jambo la ajabu , Tanzania mnapaswa kujivunia kwa tukio hili”alisema Jonson.

Mkuu wa Idara ya Utalii wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Godson Kimaro alisema tofauti na miaka ya nyuma mwaka huu kuanzia Februari Mosi hadi Februari 24, jumla ya watalii 10,621 toka nje ya nchi wamefika Serengeti kushuhudia nyumbu wakizaliwa.

Kimaro alisema katika kipindi hiki pia kuna Watanzania 5,815 wametembelea hifadhi, ikiwa pia ni ongezeko la zaidi ya asilimia 50 katika kipindi kingine.

Naye Meneja Uhusiano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) Pascal Shelutete alisema Tanapa kuanzia mwaka jana, imeanza kulitangaza kimataifa tukio la nyumbu kuingia nchini, kuzaliana na kuondoka ili kuwavutia watalii.
Shelutete alitoa mwito kufika kuona maajabu hayo
Chanzo: Mwananchi

Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com 

Pinda kuzindua Siku ya Mizinga ya Nyuki

na Asha Bani WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika siku ya taifa ya kutundika mizinga ya nyuki ambayo itazin... thumbnail 1 summary



na Asha Bani
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika siku ya taifa ya kutundika mizinga ya nyuki ambayo itazinduliwa kwa mara ya kwanza Machi 4 mkoani Singida.
Msemaji Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, George Matiko, alisema jana kuwa siku hiyo itafanyika katika Hifadhi ya Aghondi, iliyoko wilayani Manyoni.
Alisema lengo la siku hiyo ambayo itakuwa inaadhimishwa kila mwaka ni kuwahamasisha wananchi kushiriki kwa wingi katika shughuli za ufugaji nyuki kwa kutumia mbinu za kisasa.
“Wizara itatumia siku hiyo kuonyesha kwa vitendo shughuli za ufugaji nyuki, kama vile kuandaa maeneo mapya ya ufugaji nyuki, kutayarisha mizinga ya nyuki, kutafuta makundi ya nyuki kwa ajili ya kuhamishia kwenye mizinga ya kisasa na kutayarisha vifaa vya ufugaji nyuki,” alisema Matiko.
Aidha alisema katika maadhimisho hayo itatolewa elimu kuhusu kalenda ya mwaka ya ufugaji nyuki nchini na umuhimu wa kuizingatia wakati wa kufanya shughuli za ufugaji nyuki katika maeneo mbalimbali husika.

Chanzo: Tanzania Daima


Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com

292 waruhusiwa kuvuna shamba la Sao Hill

na Asha Bani WAZIRI wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki amewaruhusu watu 292 ambao vibali vyao vilisitishwa Januari mwaka hu... thumbnail 1 summary


na Asha Bani
WAZIRI wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki amewaruhusu watu 292 ambao vibali vyao vilisitishwa Januari mwaka huu, kuendelea na uvunaji katika shamba la Sao Hill.
Kagasheki ametoa ruhusa hiyo baada ya kujiridhisha kuwa watu hao walipata vibali hivyo kwa kufuata taratibu za uvunaji, kutokana na awali kuwepo kwa utata.
Kagasheki wakati alipotembelea wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, Januari 25 na 26, mwaka huu, ili kusikiliza kero zilizoko wilayani humo kuhusiana na shamba la miti la Sao Hill, aliahidi kufanyia kazi baadhi ya masuala yaliyojitokeza.
Kuhusu suala la vibali 292 vilivyotolewa katika msimu wa mwaka 2012/13 na kusitishwa wakati wa ziara yake, waziri amelifanyia kazi na kubaini kuwa matatizo na changamoto zilizojitokeza zilitokana na utendaji katika kipindi cha mpito, hususan mabadiliko ya utaratibu wa utoaji vibali vya uvunaji.
Hivyo wadau hao 292 ambao hawana vibali rasmi vilivyochapishwa kutokana na kutumika utaratibu wa zamani, wameruhusiwa kukamilisha taratibu na kupewa vibali rasmi vya uvunaji.
Ruhusa hii inawahusu wavunaji wote waliofuata taratibu zote za usajili, ikiwa ni pamoja na kupata usajili na kulipia maduhuli na tozo mbalimbali za serikali ambazo ndizo vigezo muhimu vya kumfanya mvunaji kufanya shughuli zake zinazohusiana na masuala yote ya uvunaji.
Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea kufanyia kazi kero zote zilizojitokeza wakati wa ziara hiyo ya waziri na taarifa itaendelea kutolewa kuhusu utekelezaji wake.

Chanzo: Tanzania Daima

Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com 

Abiria Precision Air waongezeka kwa asilimia 13

SHIRIKA la Ndege la Precision Air, limeendelea kufanya vizuri katika sekta ya anga kwa abiria wake kuongezeka kwa asilimia 13 kwa kipind... thumbnail 1 summary


SHIRIKA la Ndege la Precision Air, limeendelea kufanya vizuri katika sekta ya anga kwa abiria wake kuongezeka kwa asilimia 13 kwa kipindi cha Aprili mwaka jana hadi Januari mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo, Allen Sharr, alisema kwa kipindi hicho, shirika hilo lilibeba abiria 750,762 ukilinganisha na abiria 663,636 mwaka juzi.
“Soko la usafiri wa anga la Tanzania limekuwa katika ushindani mkubwa kutokana na ujio wa mashirika mapya.
“Hata hivyo, shirika la Precision limekuwa likifanya vizuri kwa idadi ya abiria kuendelea kuongezeka.
“Tumepata mafanikio haya kutokana na huduma za kipekee tunazotoa kwa wateja wetu, kwenda na ratiba ya safari zetu na ukarimu wa Kitanzania unaofurahiwa na abiria,” alisema Sharra.
Sharra alibainisha kuwa shirika limeongeza idadi ya safari zake katika njia tofauti kama mkoani Mbeya, kupenyeza katika mikoa ya kusini iliyopokelewa na muitikio mkubwa na kuwa na idadi ya safari zake mara nne kwa wiki kwa kutumia dakika 90 kupitia ndege aina ya ATR 42.
“Uanzishwaji wa safari za jioni za Mtwara kutokea Dar es Salaam saa kumi jioni umerahisisha usafiri kwa abiria wanaosafiri kwenda na kurudi mkoani hapo pamoja na kurudisha safari za Kigoma Januari mwaka huu,” alisema.

Chanzo: Tanzania Daima


Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com 

Asia, Africa and North America join hands to crack down on wildlife crime syndicates

(Bangkok, Thailand) - Police, Customs and wildlife officers from Asia, Afric a and the United States announced today that a cross border enf... thumbnail 1 summary
(Bangkok, Thailand) - Police, Customs and wildlife officers from Asia, Africa and the United States announced today that a cross border enforcement operation codenamed “COBRA” was successfully carried out. The month-long effort was described as “An international, intelligence-driven operation aimed at dismantling organized wildlife crime syndicates with significant results and the prospect for more.” The operation was a welcome and innovative initiative from countries, the first international effort of its kind to focus on the sharing of investigation information in real time among countries and a concerted response by law enforcement agencies of implicated countries and partnering institutions towards curtailing rampant wildlife crime. It facilitated increased cooperation among range, transit and consumer countries where significant seizures of contraband wildlife specimens and arrests of suspects involved were recorded. The use of specialized investigation techniques was promoted and a number of follow up investigations into the seizures were initiated.

Between 6 January and 5 February 2013, representatives from the Office of China National Interagency CITES Enforcement Coordination Group (NICECG), Lusaka Agreement Task Force (LATF) , Nepalese Police (Representing SA-WEN), South African Police Service, India’s Wildlife Crime Control Bureau (WCCB), Indonesian Police, Vietnamese Environmental Police, Royal Thai Police, Association of Southeast Asia Nations Wildlife Enforcement Network (ASEAN-WEN), U.S. Fish and Wildlife Service (USFWS) and the Regional Intelligence Liaison Office for Customs in the Asia/Pacific region (RILO A/P) worked jointly and coordinated the operation as an International Coordination Team (ICT) based in Bangkok. Real time sharing of information amongst the agencies and across borders characterized the ITC, regional and national coordinators.

The ICT, chaired by China, constantly maintained contact with operation teams at regional and national levels. The operation yielded hundreds of arrests which included seizures of assorted wildlife specimens; mainly 42,000kg of red sander wood, 6,500kg of elephant ivory, 1,550kg of shatoosh (around 10,000 Tibetean antelopes must have been killed to collect such an amount of this wool), 2,600 live snakes, 324 hornbills, 102 pangolins, 800kgs of pangolin scales, 22 rhino horns and 4 rhino horn carvings, 10 tiger and 7 leopard trophies, 31kg elephant meat as well as claws and teeth of protected felid animals and plant species. Assorted equipment including fire arms and ammunitions were also recovered from poachers during the operation.

“Operation COBRA focused on quality of investigations over quantity of seizures. The team gathered vital intelligence from this operation, which will be very useful in the ongoing joint investigations,” stated Wan Ziming from China. Senior Superintendent, Uttam Kumar Karkee, from Nepalese Police pointed out the necessity of joint efforts from the international community to fight effectively against wildlife crime and added, "Operation COBRA has proven itself to be an excellent model for fighting trans-national crime ". Adan Alio from LATF said that, “Our international team decided to focus on tracking and dismantling criminal networks. Until the top criminals are brought down, the poaching and illegal trade will continue.”

Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com

Jengo la ATCL hatarini kupigwa mnada

JENGO la Makao Makuu ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) liko hatarini kupigwa mnada kwa amri ya Mahakama kutokana na kushindwa kulipa ... thumbnail 1 summary

JENGO la Makao Makuu ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) liko hatarini kupigwa mnada kwa amri ya Mahakama kutokana na kushindwa kulipa deni inalodaiwa na Kampuni ya Huduma za Utalii ya Leisure Tours and Holidays.
Tayari Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara imeamuru kampuni hiyo ifanye uthamini wa jengo hilo na kuwasilisha mahakamani taarifa hiyo leo.
Hatua hiyo inatokana na mao mbi yaliyowasilishwa mahakamani hapo na kampuni hiyo ambayo ni mshindi wa tuzo katika kesi ya madai namba 56 ya mwaka 2009 iliyotokana na mgogoro wa kibiashara baina yake na ATCL.
Kampuni hiyo inaidai ATCL Dola za Marekani 716,259.25 (Sh1.1 bilioni) baada ya kushindwa kulipia huduma za ukodishaji wa magari ambazo kampuni hiyo ilitoa kwa ATCL.
Mbali na kiasi hicho ambacho ni deni la msingi pamoja na riba ya asilimia 10 kwa kipindi cha miaka miwili, pia ATCL inapaswa kuilipa kampuni hiyo gharama za uendeshaji wa kesi hiyo.
Katika amri ya Mahakama hiyo iliyotolewa na Jaji Mfawidhi Robert Makaramba Februari 11, 2013, kabla ya kutoa amri ya jengo hilo kupigwa mnada, ilimwamuru mshinda tuzo kufanya uthamini wake.
Taarifa ya amri hiyo inasomeka: “Amri: Muombaji/mshinda tuzo anatakiwa kuwasilisha katika Mahakama hii taarifa ya uthamini wa jengo la ATCL, lililoko katika Mtaa wa Ohio, (Dar es Salaam) saa 3.00 asubuhi, Februari 20, 2013. Shauri litakuja kwa amri zaidi saa 3.00 asubuhi, Februari 25, 2013,” inasomeka amri hiyo.
Hata hivyo, Wakili wa mshinda tuzo, Jerome Msemwa wa Kampuni ya Msemwa & Company Advocates, alisema licha ya amri ya Mahakama kufanya uthamini wa jengo hilo, lakini maofisa wa mshindwa tuzo wamezuia kufanyika uthamini.
Wakili Msemwa alisema maofisa hao wa mshindwa tuzo walizuia uthamini huo kufanyika kwa madai kuwa watalipa.
Alisema kuwa kwa muda mrefu wamekuwa wakiahidi hivyo bila utekelezaji na kwamba leo anawasilisha mahakamani taarifa hiyo ya kuzuiwa na kisha kusubiri amri ya Mahakama.
Awali, Novemba 20, 2012, Mahakama hiyo ilimwamuru mshindwa tuzo kuwasilisha mahakamani hapo jedwali la malipo ndani ya kipindi cha mwezi mmoja tangu tarehe ya amri hiyo.
Hata hivyo, mshindwa tuzo hakutekeleza amri hiyo ndipo mshinda tuzo alipowasilisha maombi ya kukamata na kuuza jengo hilo.
Katika kesi ya msingi pande zote zilikubaliana kuzungumza na kufikia mwafaka nje ya Mahakama, makubaliano ambayo kila upande ulisaini ikiwa ni ishara ya kukubali kutekeleza.
Waliwasilisha mahakamani makubaliano hayo, Aprili 8, 2011 ili yaidhinishwe na kuwa uamuzi halali.
Katika makubaliano hayo, mshindwa tuzo anapaswa kumlipa mshinda tuzo kiasi cha Dola 596,882.97(Sh952 milioni) kwa awamu tatu za kiasi cha Dola 198,960.99 (Sh317 milioni) kwa kadri anavyopata fungu kutoka Hazina.
Pia, walikubaliana mshindwa tuzo amlipe mshinda tuzo kiasi cha Dola 119, 376.97(Sh190 milioni) kikiwa ni riba ya asilimia 10 kwa mwaka ya malipo ya msingi, kwa kipindi cha mwaka wa 2009 na 2010, kwa awamu tatu kadri anavyopata fungu kutoka Hazina.
Hata hivyo, ATCL haikutekeleza ulipaji wa fidia hiyo kama walivyokubaliana na jinsi Mahakama ilivyoamuru.
Chanzo: Mwananchi

Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com

Askari polisi 240 kupewa mafunzo kulinda watalii

POLISI imesema itatenga askari 240 na kuwapa mafunzo maalumu kwa ajili ya ulinzi wa watalii katika mikoa yenye watalii wengi nchini. ... thumbnail 1 summary

POLISI imesema itatenga askari 240 na kuwapa mafunzo maalumu kwa ajili ya ulinzi wa watalii katika mikoa yenye watalii wengi nchini.
Hayo yalisemwa jana na Kamishna Msaidizi wa Polisi, Benedict Kitalika wakati akitoa mada kwenye mkutano wa kujadili jinsi ya kuwapatia ulinzi watalii na watu wenye hadhi ya kidiplomasia wanaotembelea mbuga za wanyama, hifadhi na vivutio mbalimbali nchini.
Katika mkutano huo ulioandaliwa na Chama cha Kuratibu Shughuli za Utalii Tanzania (TATO), alisema kuwa tayari wamepeleka mapendekezo ili kutengewa zaidi ya Sh80 milioni kutoka katika bajeti ya Mambo ya Ndani kwa ajili ya kazi hiyo.Kitalika alisema kuwa kitengo hicho kilichoanza Julai mwaka jana ni maalumu baada ya kuibuka mauaji na uporaji kwa watalii wanaofika nchini kutembelea vivutio hivyo.
Alisema kuwa nguvu zaidi zitaelekezwa katika mikoa ya Arusha, Mara, Manyara na Zanzibar ambako ndiko kwenye idadi kubwa ya watalii.
Awali akiwasilisha mada yake, Mkurugenzi Mtendaji wa TATO, Mustapha Akunaay, alisema kuwa kuna haja ya kuundwa kwa kitengo hicho kwa ajili ya kuwalinda watalii ambao huuawa ama huporwa na kuharibu sifa ya Tanzania katika sekta hiyo.
Alisema kuwa, haja ya kufanya hivyo inatokana na sekta ya utalii kuchangia asilimia 17.5 ya pato ghafi la ndani na kutoa ajira rasmi 500,000 na 800,000 zisizo rasmi pamoja na kufikisha watalii 867,994 walioingiza Dola za Marekani Sh1.35 bilioni mwaka 2011.
Chanzo: Mwananchi

Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com

10 waingia fainali Miss Utalii 2013

WAREMBO 10 wamefuzu kuingia fainali ya shindano la Miss Utalii Tanzania mwaka 2012/2013 iliyopangwa kufanyika mwisho wa mwezi huu katika... thumbnail 1 summary


WAREMBO 10 wamefuzu kuingia fainali ya shindano la Miss Utalii Tanzania mwaka 2012/2013 iliyopangwa kufanyika mwisho wa mwezi huu katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagara, jijini Dar es Salaam.

Hao wametokana na warembo 40 ambao juzi walichuana katika Ukumbi wa Msasani Beach katika hatua ya nusu fainali ya shindano kupitia kigezo cha vipaji ambapo 30 walichujwa na kubaki idadi hiyo.

Akizungumza wakati wa mashindano hayo, Rais wa Kamati ya Miss Utalii Tanzania, Gideon Chipungahelo, alisema vigezo vilivyotumika kuwachuja warembo hao ni vipaji ambapo kila mshiriki alitakiwa kucheza ngoma ya asili yake.

“Kila mshiriki ameweza kuonesha kipaji chake na majaji wametenda haki katika hili, warembo waliobaki wameonesha vipaji vya hali ya juu,” alisema.
Chipungahelo aliwataja warembo hao na mkoa waliotoka kwenye mabano ni Furaha Kinyunyu (Ruvuma), Marry Lita (Manyara), Joan John (Lindi), Irene Richard wa Chuo Kikuu cha St. Joseph cha Dodoma.
Wengine ni Nadia Marijebi (Zanzibar), Sophia Yussuph (Dar es Salaam), Magreth Malalle (Tabora), Zena Ally (Kigoma), Erica Elibariki (Dodoma) na Asha Ramadhan (Katavi).
Naye Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azan, aliyekuwa mgeni rasmi, aliwatakia maandalizi mema washiriki wote ambao wamefuzu kushiriki fainali.

“Shindano bado linaendelea sina mengi ya kuongea ila naomba shindano hili litumike kuelimisha watalii na Watanzania wote kujifunza kitu cha asili yetu,” alisema Azan.

Mwaka huu shindano hilo linafanyika chini ya udhamini wa kampuni ya vinywaji baridi ya Coca-cola Kwanza Ltd, Daja Salon, Mtwana Catering Services Enterprises, Zizzou Fashion, Global Publishers, Ikondolelo Lodge, Clouds Media Group, Tone Multimedia Group na Valley Spring.

Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com

Auric Air Services: For those who requested out contacts, here they are again

Mwanza Office Auric Air Services Ltd P.O.Box 336  Mwanza Tanzania. Cell: 255 783 233334 255 736 200849 (Only Weekdays) 255 736 200853 (Only ... thumbnail 1 summary
Mwanza Office
Auric Air Services Ltd
P.O.Box 336 
Mwanza Tanzania.
Cell: 255 783 233334
255 736 200849 (Only Weekdays)
255 736 200853 (Only Weekdays)
Email : reservations@auricair.com

Dar Es Salaam Office
Auric Air Services Ltd.
T-14, First Floor
Haidery Plaza
Upanga/Kisutu Street
Dar es Salaam
Tel (Dar Airport) - 0688 937165
Tel (Town Office) - 0688 937166
Email : dgupta@auricair.com

Arusha Office
Auric Air Services Ltd.
107, Qutbi Building,
Opp. Rushda Supermarket
Plot No 6, Area F
Azimio Street
Arusha
Tanzania
Cell: 255 688 723274
Email : arusha@auricair.com


Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com

Camping @The Beach Crab Resort Tanga

Camping – Choose your  favourite  spot and pitch your tent Our extensive camping ground is situated right next to the beach. The pris... thumbnail 1 summary


Camping – Choose your favourite spot and pitch your tent

Our extensive camping ground is situated right next to the beach. The pristine area with many shady trees offers the perfect spot for everyone. Backpacker, jeep-driver, overlander and motorcyclist are all equally welcome. No matter if you arrive with a 20 kilo backpack or a 20 ton(s) truck – we have enough space for you.

Our separate sanitary facilities are equipped with European standard showers, washing basins and flush toilets.

Our beach bar is a great place to meet fellow travelers and enjoy a cold drink and some excellent food.

If you would like to cater for yourself, the nearby villages offer small markets and shops where you can find rice, seasonal vegetables and fruits as well as everyday articles such as toothpaste or washing powder. If you would like to have a BBQ, the local fishermen at the beach also sell fish. For a delicious breakfast you can buy fresh home-made bread, milk and eggs from us. 

Rates from 3.50 US $ per person per night

220 V connection for power supply on inquiry

Park Served: Mkomazi National Park
Location/Directions:


Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com

Senene wa bukoba watamu hao! mwakora waitu!

Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com Do you have any news about avi... thumbnail 1 summary

Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com

Meli ya kivita ya kupambana na uharamia ya urusi yatia nanga Dar es salaam

Meli ya kivita  ya kupambana na uharamia aina ya  Anti Submarine iitwayo  Marshal Shaposhnikov’,  ilipokuwa ikiingia na kasha baadae kuti... thumbnail 1 summary

Meli ya kivita  ya kupambana na uharamia aina ya  Anti Submarine iitwayo  Marshal Shaposhnikov’,  ilipokuwa ikiingia na kasha baadae kutia nanga katika bandari ya Dar es Salaam, kwa ziara fupi yenye lengo la kuimarisha urafiki baina ya Jeshi la Wanamaji wa Tanzania na Urusi. Wakati nchi ya Somalia ikiendelea kuwa kitovu cha uharamia, jumuiya ya kimataifa ilikubaliana kudhamiria kupambana na vitendo hivyo viovu. Lakini hadi sasa, wakati nchi nyingine zikitumia mbinu mbalimbali katika mapambano hayo, ni nchi za Russia, India na China pekee zinazosindikiza meli zao za biashara na nyinginezo ili kuzilinda na uharamia. Meli hiyo imewasili siku ya Jumamosi na inategemea kuondoka kesho, Jumatano.
Balozi wa  Urusi hapa nchini Mheshimiwa Alexander Rannikh  akiambatana na kiongozi wa wanajeshi waliofatana na meli hiyo Rear Admiral Vdovenko
Kwa pamoja, Balozi Rannikh na wanajeshi wa Kirusi waliimba wimbo wao wataifa wakiwa katika meli.
Balozi Rannikh akiwapongeza wanajeshi wake kwa kufika Dar es Salaam, Tanzania na kuwakaribisha nchi pia.
Baada ya salamu hizo, Balozi Rannikh nae alikaribishwa keki na mmvinyo iliyoandaliwa na wanajeshi katika meli.
Balozi wa  Urusi hapa nchini Mheshimiwa Alexander Rannikh akipokea salamu kutoka kwa  kiongozi mkuu Rear Admiral Vladimir Vdovenko wakati alipotembelea meli hiyo bandarini.

Wanajeshi wa Kirusi wakionesha umahili wao wa ukakamavu 

Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com 

DW yaadhimisha miaka 50 ya uandishi wa habari uliotukuka

Deutsche Welle (DW) Idhaa ya Kiswahili  inaadhimisha miaka 50 ya idhaa yake ya Kiswahili chini ya maudhui ya “Maarifa na Mwamko“ katika ha... thumbnail 1 summary

Deutsche Welle (DW) Idhaa ya Kiswahili  inaadhimisha miaka 50 ya idhaa yake ya Kiswahili chini ya maudhui ya “Maarifa na Mwamko“ katika hafla maalumu itakayofanyika jijini Dar es Salaam.

Kwa nusu karne, Deutsche Welle (DW) imekuwa ikitangaza taarifa na habari za uhakika kwa lugha ya Kiswahili kwa ajili ya wasikilizaji kwenye maeneo ya Mashariki mwa Afrika na eneo la Maziwa Makuu. 


Tarehe 22 Februari, saa 9.oo mchana katika jengo la Makumbusho ya Taifa, DW itasherehekea maadhimisho haya kwa hafla maalumu jijini Dar es Salaam, Tanzania, ikiwaleta pamoja wachambuzi wanaoheshimika katika mjadala wenye maudhui ya “ Maarifa na Mwamko kupitia Vyombo vya Habari“.


Hotuba maalumu zitatolewa kwa lugha ya Kiingereza na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Klaus-Peter Brandes, na mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya DW, Andrea Schmidt.


“Idadi kubwa ya wasikilizaji wetu wanaishi hapa Tanzania, kwa hivyo lilikuwa chaguo la uhakika kwa ajili ya sherehe zetu,“ alisema Andrea Schmidt. “Kwa miaka 50 iliyopita, DW imejitolea katika utoaji wa habari zenye uwiano na taarifa za uhakika, ikiwapa watu wa Afrika ya Mashariki habari na uchambuzi wa kina juu ya masuala yenye uzito mkubwa.“


Uchambuzi utafanywa na jopo la majadiliano lililotayarishwa kwa msaada wa Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) ofisi ya Dar es Salaam na utafanywa kwa lugha ya Kiswahili. Mohammed Khelef wa DW ataongoza majadiliano hayo akiwa na wataalamu wa vyombo vya habari wanaoheshimika nchini Tanzania, akiwemo Assah Andrew Mwambene (Mkurugenzi wa  Idara ya Habari, Maelezo), Mohamed Abdulrahman (DW), Jenerali Ulimwengu (Mwandishi wa habari), Valerie Msoka (Mkurugenzi wa TAMWA) na Maggid Mjengwa (Mtaalamu wa mitandao ya kijamii). 


Wahudhuriaji watakuwa pia na fursa ya kukutana na kubadilishana mawazo na waandishi wa DW kutoka Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Tanzania, ambao wanahudhuria hafla hiyo katika jengo la Makumbusho ya Taifa.


Katika kufanya taarifa ziwe na maana Idhaa ya Kiswahili ya DW hutangaza mara tatu kwa siku kwa ajili ya maeneo ya Afrika ya Mashariki na Maziwa Makuu. Ikishirikiana na redio washirika

zinazotangaza kwa masafa ya FM kwenye eneo hilo, DW inaweza kuwapa wasikilizaji habari zenye uwiano juu ya kile kinachoendelea ulimwenguni kwa ujumla na hasa yale yanayoendelea barani Afrika. Ili kupata mtazamo huu wa kimataifa, timu ya waandishi wa habari kutoka mataifa matano ya Kiafrika inafanya kazi na mtandao wa wawakilishi wetu walioko kote Afrika Mashariki na Kati.

Idhaa ya Kiswahili ni moja ya idhaa mashuhuri sana za DW. DW ina kipindi cha kuelimisha kilichoshinda tuzo kadhaa cha “Noa Bongo! Jenga Maisha Yako!“ na makala za aina mbalimbali zinazogusa masuala ya afya, haki za binaadamu, mazingira, wanawake na maendeleo, vijana na mitindo ya maisha na utamaduni.


PRESS: WWW.DW.DE/PRESS

INSIDER BLOG: BLOGS.DW.DE/INSIDER


Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com

Southern Circuit to host week-long tour

BY LUSEKELO PHILEMON Southern Tanzania is not as active as other areas of the country in relation to tourism but a youth initiativ... thumbnail 1 summary



BY LUSEKELO PHILEMON
Southern Tanzania is not as active as other areas of the country in relation to tourism but a youth initiative dubbed ‘Kusini Utalii Festival’ is looking to change that and promote the regions of Mtwara and Lindi.
Executive Secretary of Kusini Utalii Festival organising team, Onesmo Christopher, told ‘The Guardian’ over the weekend that the event is scheduled for April 21 and 27, this year.  According to Christopher, the festival has been designed to evoke unity and to challenge the participants to recognise tourism.
The event is expected to attract more than 500 participants from different angles of the country including students, diplomats, entrepreneurs, tour operators, investors, public officials and media personnel.
Chairman of the event’s organising committee, Shaban Mweta, called upon stakeholders from within and outside Tanzania to join aid in the effort to make the tourism-showcasing event successful. He noted that if the southern tourist circuit will be exploited many youth will get employment.
The Kusini Utalii Festival, will be held under the theme; ‘Fahamu uzuri wa nchi yako, wafanye wengine waukubali’ (Know the beauty of your country, get others appreciate it).
Fatma Mikidadi, (Special Seats, CUF) noted that:
 “The festival is timely and it will showcase tourist destinations available in Lindi and Mtwara regions…” the MP  also cited  the ruins of Kilwa as important historical sites, potential for tourism.
She said Mtwara and Lindi have so much to offer in terms of history, culture, irresistible landscape from the hinterland to the palm tree fringed beaches along the Indian Ocean.
It is to be remembered that, Mtwara has long attracted tourists to the Nation leading to the establishment of the Spiced Swahili Coast culture all thanks to the Makonde carvings that are named after the superb and unique artistic wood carvers of the Makonde tribe.
SOURCE: THE GUARDIAN


Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com

fastjet yatoa mafunzo kwa Mtanzania wa Kwanza Mmaasai kuongoza ndege aina ya Airbus

William Zelothe Stepehen ni Mtanzania wa Kwanza Mmaasai aliyepewa ithibati ya kuiongoza ndege aina ya Airbus A319 punde tu baada ya kupoke... thumbnail 1 summary

William Zelothe Stepehen ni Mtanzania wa Kwanza Mmaasai aliyepewa ithibati ya kuiongoza ndege aina ya Airbus A319 punde tu baada ya kupokea mafunzo ya urubani yaliyodhaminiwa na shirika la ndege la fastjet. Alipata mafunzo hayo nchini Uingereza kwa muda wa takriban miezi miwili na amerudi nchini Tanzania hivi karibuni. William alikulia Olosipe jijini Arusha ambapo ni nyumbani kwa wazazi wake.

William anafananisha anavyojihisi anapoiongoza ndege ya Airbus A319, na wakati akiwa katika nyumba nzuri ya kifahari na ya kisasa; anaielezea ndege ya Airbus A319 kama ndege iliyo imara na ambayo imewekewa mifumo mingi ya usalama. Kwa maneno yake mwenyewe, anasema “Ndege ya Airbus inakulinda kweli kweli, kama unaifahamu vyema”

William amewahi kusomea usimamizi wa wanyama pori; alipata mafunzo ya urubani kwa mara ya kwanza kule Florida Aviation Academy nchini Marekani mwaka 2006 ambapo alipata leseni yake ya usafirishaji kwa ndege. Ingawa ana umri mdogo, ana uzoefu wa masaa 3,053 ya kuongoza ndege.

Kumwajiri rubani huyu mtanzania mwenye miaka 28, ni mojawapo ya jitihada za fastjet za kuhakikisha kuwa kampuni hiyo inaajiri watendaji wazawa waliobobea katika fani hiyo hapa nchini. Mikakati yao ya kuajiri pia ni mojawapo ya wajibu wao mpana wa kuwekeza nchini Tanzania. Kwa kila rubani aliyepokea mafunzo, fastjet imetumia gharama inayokadiriwa shilingi 49,546,400 hela za kitanzania ambayo ni sawa na 31,027 dola za kimarekani.

fastjet ni shirika jipya la ndege la nauli nafuu Afrika ambalo lilipata umiliki wa FLY540 na kwa mantiki hiyo likazindua kampuni ya kwanza ya usafiri wa ndege ambalo linazingatia bajeti. Fastjet, ambayo inaungwa mkono na mwanzilishi wa Lonrho na easyGroup Bwana Stelios Haji Ioannou, imetambulisha nauli za kiwango cha chini hadi kiasi cha Tsh32,000 bila kujumlisha kodi ili kuwawezesha mamilioni  ya watu ambao walikuwa wameshindwa kusafiri kwa ndege, kuweza kusafiria ndege kwa mara ya kwanza na kuendelea kutumia ndege mara kwa mara. Tangu kuzinduliwa kwake mwezi Novemba 2012, shirika hili la fastjet limewasafirisha zaidi ya watu 70,000 na asilimia 99.7 ya safari za ndege zikisafiri katika muda uliopangwa.

Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com 

WANAFUNZI CHUO CHA UANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM (DSJ) KUFANYA UTALII WA NDANI BAGAMOYO

Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com Do you have any news abo... thumbnail 1 summary
Una taarifa, picha za usafiri wa anga, mazingira, maliasili na utalii? tutumie kupitia kingkahindi@gmail.com Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com

Selous Special, 3 Days 2 Nights Full Board Incl Transport - $395 pp

Take advantage of this fantastic offer and join us at  Sable Mountain Lodge  for a 3 day 2 night Selous getaway at Sable Mountain Lodg... thumbnail 1 summary

Take advantage of this fantastic offer and join us at Sable Mountain Lodge for a 3 day 2 night Selous getaway at Sable Mountain Lodge.  Sable Mountain Lodge is located in the North Western corner of the Selous.  The boundary to the reserve passes right through the upper restaurant and bar area.  

Get closer with Sable Mountain Lodge.
Offer valid for travel from now through March 24th.  For bookings and inquiries contact Sable Mountain Lodge at  +255 22 211 0507 |  +255 713 323 318| info@selouslodge.com, or visit our website for more information > www.selouslodge.com.


Selous Special, 3 Days 2 Nights Full Board Incl Transport - $395 pp
Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com

WHAT HAPPENED WITH LAKELAND AFRICA LAST WEEKEND IN KILWA

  As we drive back from Kilwa they decide to sleep. Safely tighten the belts, pull back the chairs and go to sleep. This was a trip to K... thumbnail 1 summary
 As we drive back from Kilwa they decide to sleep. Safely tighten the belts, pull back the chairs and go to sleep. This was a trip to Kilwa last weekend
 Belts on, safely driving from Kilwa on Saturday, These boys must have had fun
 Mother and Son listening to the tour leader as we cross Mkapa bridge as we drive to Kilwa

 The brave may not live forever but the cautious do not live at all.With life jackets on we took two boats to Kilwa Kisiwani. Here enjoying a ride back from Kilwa Kisiwani. The boys are very happy
 Camping at Kilwa Dreams Hotel and Campsite in Kilwa last Saturday
 Touring Kilwa Kisiwani


Join our upcoming trips: 23-24 Feb, 2013 Selous game reserve tour, 02/03/2013 - 03/03/2013 > Mikumi National Park Weekend Wildlife SafariCall us today on +255 222 761811 or +255 784 885 901 or visit www.lakelandafrica.com for details

Good times never last but good memories do!


Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com

`Wildlife areas need reformed approach`

BY AISIA RWEYEMAMU The Tanzania Authorised Association Consortium (AAC) has raised concern regarding the need for policy reform in or... thumbnail 1 summary

BY AISIA RWEYEMAMU
The Tanzania Authorised Association Consortium (AAC) has raised concern regarding the need for policy reform in order to ensure more tangible benefits to Wildlife Management Areas (WMA) from hunting and photography tourism revenue.
AAC is an umbrella organisation for Authorised Associations (AAs) that manage Wildlife Management Areas (WMAs), a civil society organization intended to provide a platform to AAs to articulate their views and concerns with different stakeholders.
The current benefit sharing mechanism is viewed as inadequate for AAs to properly manage and conserve their WMA natural resources.
On February 5, journalists visited Burunge WMA under the support of United States Agency for International Development (USAID), to see and hear how Wildlife Management Areas operate, and their supporting institution tasked with managing critical wildlife habitats.
While in Babati, The Guardian on Sunday met AA’s leadership at the Manyara Ranch Office who noted that WMA are currently receiving only 50 percent of revenue from tourism in their WMAs.
George Wambura, the AA Executive Secretary observed that the process needs greater transparency and funds need to be disbursed in a timely manner back to communities.
He noted challenges in disbursement of funds from the government, often taking up to a year before being received by the participating communities. This poses a challenge to proper planning and management of the WMAs, he stated.
Revenue collection and distribution by districts and the central government undermines the central concept of WMAs as being a community led process.
The AA Consortium insisted on the need for communities themselves to make decisions over revenue management.
The AA was registered in 2010, with an established secretariat handling issued from member associations with national organs and international consultative forums.
Ramadhani Ismail, the chairman of the Burunge WMA said the existence of WMA has supported the villagers in various development projects and in donations like school contributions, the Uhuru Torch and health centre that previously caused some villagers to flee their homes after failing to pay the small amounts of cash needed.
Annual collections have increased from Sh.37 million in 2006/07 to Sh. 435 million in 2011/1, he said, noting that since WMA came up villager authorities have been paid various contributions from profit of WMA projects.
David Mansoni, a WMA beneficiary, says before the WMA hunters would invade and leave the bush at will. Now, visitors pay $25 per person nightly, and villagers realize the benefits of money generated from Burunge WMA.
Mansoni said transparency is the biggest benefit of WMA as villagers are informed on how much money the WMA had received and how much they should expect.
Wildlife Management Areas (WMA) are community owned and managed conservation areas in which communities are given user rights, to benefit from their wildlife resources.
SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY

Do you have any news about aviation services, environmental issues, natural resource and tourism? please do send it to kingkahindi@gmail.com