HII kali, kijana mmoja aliyefahamika
kwa jina la Haji Shemndoa mkazi wa Kijiji cha Hambai Wilaya ya Lushoto
Jijini Tanga hivi karibuni aliamua kusafirisha Ng'ombe aliye hai kutoka
kijiji cha Hambai hadi kijiji cha Soni kwa kutumia Usafiri wa pikipiki Picha kwa hisani ya Wasambaa