WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA
3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 17/04/2014.
[Mikoa
ya Dar es salaam, Pwani na Tanga]:
[Mkoa
wa Morogoro (Kaskazini)]:
[Visiwa
vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa
ya Lindi na Mtwara]
|
|
Hali ya Mawingu, mvua na
ngurumo katika baadhi ya maeneo na
vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Kagera, Mara,
Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara ]:
[Mikoa ya Kigoma, Tabora na
Katavi]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa
ya Ruvuma na Morogoro (Kusini)]:
[Mikoa ya Rukwa, Mbeya na
Iringa]:
[Mikoa ya Dodoma na
Singida]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
TAHADHARI
VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MACHACHE YA
PWANI YA KASKAZINI (MIKOA YA DAR ES SALAAM, PWANI, TANGA NA VISIWA VYA UNGUJA
NA PEMBA.
ANGALIZO
ONGEZEKO LA MVUA LINATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA MIKOA YA
LINDI NA MTWARA.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
24°C
|
17°C
|
12:35
|
12:36
|
D'SALAAM
|
30°C
|
23°C
|
12:26
|
12:23
|
DODOMA
|
28°C
|
18°C
|
12:40
|
12:37
|
KIGOMA
|
29°C
|
20°C
|
01:03
|
01:02
|
MBEYA
|
24°C
|
13°C
|
12:50
|
12:45
|
MWANZA
|
29°C
|
18°C
|
12:49
|
12:50
|
TABORA
|
29°C
|
18°C
|
12:51
|
12:50
|
TANGA |
30°C
|
24°C
|
12:26
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
24°C
|
12:26
|
12:23
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa, kutoka Kusini kwa Pwani
ya
Kaskazini na kutoka Kusini –Mashariki kwa Pwani ya Kusini
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
19/04/2014: Ongezeko la mvua katika
ukanda wa Pwani ya Kusini.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 17/04/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.