WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 18/04/2014.
[Mikoa
ya Ruvuma na Morogoro (Kusini)]:
[Mikoa
ya Lindi na Mtwara]
|
|
Hali ya Mawingu, mvua na
ngurumo katika maeneo mengi na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa
ya Kagera, Mara, Mwanza na Shinyanga]: [Mikoa ya Kigoma na Morogoro
(Kaskazini)]:
[Mikoa
ya Dar es salaam, Pwani na Tanga]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara ]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali
ya Mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya
jua.
|
[Mikoa ya Rukwa, Mbeya na
Iringa]:
[Mikoa ya Dodoma na
Singida]:
[Mikoa ya Tabora na
Katavi]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
TAHADHARI
- VIPINDI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MENGI YA PWANI YA KUSINI (MIKOA YA LINDI NA MTWARA. UPEPO MKALI UNAOFIKIA KM 40 KWA SAA UNATARAJIWA KATIKA UKANDA WA PWANI YA KUSINI.
ANGALIZO
- VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO MENGI YA PWANI YA KASKAZINI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
25°C
|
17°C
|
12:35
|
12:36
|
D'SALAAM
|
30°C
|
23°C
|
12:26
|
12:23
|
DODOMA
|
28°C
|
19°C
|
12:40
|
12:37
|
KIGOMA
|
26°C
|
20°C
|
01:03
|
01:02
|
MBEYA
|
24°C
|
14°C
|
12:50
|
12:45
|
MWANZA
|
29°C
|
20°C
|
12:49
|
12:50
|
TABORA
|
29°C
|
18°C
|
12:51
|
12:50
|
TANGA |
30°C
|
24°C
|
12:26
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
25°C
|
12:26
|
12:23
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa, kutoka Kusini-Magharibi kwa
Pwani ya
Kaskazini na km 40 kwa saa kutoka Kusini
–Mashariki kwa Pwani ya Kusini
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi makubwa kiasi hadi makubwa.
Matazamio kwa siku ya Jumapili:
20/04/2014: Mabadiliko kidogo
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 18/04/2014.
Na: MAMLAKA
YA HALI YA HEWA TANZANIA.