Rais
Jakaya Kikwete akimkaribisha Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la
Anga (ICAO) Raymond Benjamin Ikulu jijini Dar es Salaam, Katibu huyo
yupo nchini kwa ziara ya Kikazi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Kikwete akiongea na
Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Anga (ICAO) Raymond Benjamin,
wakati alipofika Ikulu jijini Dar es Salaam, Katibu huyo yupo nchini kwa
ziara ya Kikazi kuanzia Mei 14 hadi 18 Mei 2014.
Rais
Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya Pamoja na Katibu Mkuu wa Shirika
la Kimataifa la Anga (ICAO) Raymond Benjamin, wakati alipofika Ikulu
jijini Dar es Salaam kwa ziara ya Kikazi kuanzia Mei 14 hadi 18 Mei
2014.Kushoto ni Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe, pamoja na
viongozi wakuu wa TCAA.
Rais
Jakaya Kikwete akiagana na mgeni wake Katibu Mkuu wa Shirika la
Kimataifa la Anga (ICAO) Raymond Benjamin, baada ya kumalizika kwa
maongezi yao ya kikazi yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
Jakaya Kikwete akisalimiana na baaddhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya
Usafiri wa Anga Tanzania TCAA wakati walipokuwa katika ziara ya kikazi
na Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) Raymond
Benjamin ambaye yupo nchini kuanzia Mei 14 hadi Mei 18 2014.Tanzania ni
miongoni mwa nchi 24 za ESAF zilizoko Kusini Mashariki mwa Afrika na
Majukumu yake ni Pamoja na Kuendeleza sere,Maamuzi , Kanuni na
Mapendekezo,Mipango ya uendeshaji wa sekta Usafiri wa anga inayoratibiwa
na ICAO, Pamoja na kutoa misaada ya Kiufundi.