Moja ya taa za barabarani zilizozinduliwa mjini
bagamoyo ambazo ni rafiki wa mazingira Picha zote na evelyn Mkokoi
Afisa
Mazingira na Utalii wa Wilaya ya Bagamoyo Na Mratibu Mradi Utalii Ikolojia
Bwana Obedi Mwinuka akisema machache wakati wa uzinduzi wa taa za
barabarani ambazo ni rafiki wa mazingira mjini bagamoyo.
Mkurugenzi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt Julius Ningu,
akiongea machache katika uzinduzi wa taa za barabarani mjini Bagamoyo ambazo ni
rafiki wa mazingira