WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 12/05/2014.
[Mikoa
ya Dar es salaam, Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mkoa
wa Morogoro]:
|
Hali ya Mawingu na mvua katika baadhi ya maeneo na vipindi
vifupi vya jua.
|
|
[Mikoa
ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
|
Hali ya Mawingu kiasi na
Mvua katika maeneo machache na vipindi
vya jua
|
|
[Mikoa ya Kagera, Mara,
Mwanza na Kigoma]:
|
Hali ya Mawingu kiasi, Mvua
na ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua
|
|
[Mikoa ya Ruvuma, Rukwa,
Iringa na Mbeya]:
[Mikoa ya Shinyanga na
Tabora]:
[Mikoa
ya Dodoma na Singida]:
[Mikoa
ya, Lindi na Mtwara]:
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
24°C
|
18°C
|
12:31
|
12:29
|
D'SALAAM
|
31°C
|
24°C
|
12:26
|
12:12
|
DODOMA
|
30°C
|
18°C
|
12:38
|
12:28
|
KIGOMA
|
31°C
|
20°C
|
01:01
|
12:53
|
MBEYA
|
24°C
|
10°C
|
12:51
|
12:33
|
MWANZA
|
28°C
|
20°C
|
12:44
|
12:44
|
TABORA
|
31°C
|
18°C
|
12:49
|
12:41
|
TANGA |
31°C
|
24°C
|
12:24
|
12:16
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
25°C
|
12:26
|
12:12
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka
Kusini kwa Pwani ya Kaskazini na
kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kusini
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumatano:
14/05/2014: Mabadiliko kidogo
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 12/05/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA