WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 16/05/2014.
[Mikoa ya Kagera na Mara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo
katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa
ya Tanga,Dar es Salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Iringa, Njombe na
Mbeya]:
|
|
Kwa ujumla hali ya mawingu
kiasi na vipindi vya jua.
|
[Mikoa
ya Kigoma,Tabora, Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Ruvuma, Rukwa,
Lindi na Mtwara]:
[Mikoa ya Morogoro,Dodoma
na Singida]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
22°C
|
16°C
|
12:31
|
12:29
|
D'SALAAM
|
31°C
|
21°C
|
12:26
|
12:12
|
DODOMA
|
30°C
|
16°C
|
12:38
|
12:28
|
KIGOMA
|
32°C
|
21°C
|
01:01
|
12:53
|
MBEYA
|
22°C
|
9°C
|
12:51
|
12:33
|
MWANZA
|
31°C
|
19°C
|
12:44
|
12:44
|
TABORA
|
31°C
|
18°C
|
12:49
|
12:41
|
TANGA |
30°C
|
23°C
|
12:24
|
12:16
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
23°C
|
12:26
|
12:12
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka
Kusini katika Pwani ya Kaskazini na kutoka Kusini-mashariki katika
Pwani ya Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa kiasi.
Matazamio kuanzia siku ya Jumapili
tarehe 18/05/2014 hadi Jumanne tarehe 20/05/2014: Ongezeko la mvua na
vipindi vya mvua kubwa vinatarajiwa katika maeneo ya ukanda wa Pwani ya Kaskazini.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 16/05/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.