WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 22/05/2014.
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa
ya, Dar es Salaam na Pwani]:
[Mkoa wa Morogoro]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mkoa wa Tanga]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kagera, Mara,
Shinyanga na Mwanza]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi,
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Ruvuma, Dodoma na
Rukwa]:
[Mikoa ya Tabora, Kigoma na
Singida]:
[Mikoa ya Iringa, Njombe na
Mbeya]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
TAHADHARI:
UPEPO MKALI
UNAOZIDI KM40 KWA SAA NA MAWIBI MAKUBWA YANAYOZIDI MITA2 YANATARAJIWA KATIKA
UKANDA WA PWANI YOTE: TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
16°C
|
12:32
|
12:28
|
D'SALAAM
|
30°C
|
21°C
|
12:27
|
12:11
|
DODOMA
|
26°C
|
16°C
|
12:40
|
12:26
|
KIGOMA
|
31°C
|
19°C
|
01:02
|
12:52
|
MBEYA
|
24°C
|
09°C
|
12:53
|
12:31
|
MWANZA
|
27°C
|
17°C
|
12:45
|
12:43
|
TABORA
|
30°C
|
17°C
|
12:50
|
12:40
|
TANGA |
28°C
|
21°C
|
12:25
|
12:15
|
ZANZIBAR
|
28°C
|
21°C
|
12:27
|
12:11
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 40 kwa saa; kutoka
Kusini kwa Pwani ya Kaskazini na Kusini-mashariki kwa
Pwani ya Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa.
Matazamio kuanzia siku ya Jumamosi
tarehe 24/05/2014 Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 22/05/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.