WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 10/06/2014.
[Mikoa ya Kagera na Mara]
|
|
Hali ya mawingu kiasi, ngurumo
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dar es Salaam,
Pwani, Morogoro na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro, na Manyara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Ruvuma Rukwa, Tabora, Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Shinyanga Mwanza,
na Kigoma]:
[Mikoa ya Njombe, Iringa na
Mbeya]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
ANGALIZO:
UPEPO MKALI UNAOFIKIA
KM 40 KWA SAA NA MAWIMBI YANAYOZIDI MITA 2.0 UNATARAJIWA KATIKA UKANDA WA PWANI
YOTE.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
22°C
|
15°C
|
12:36
|
12:30
|
D'SALAAM
|
31°C
|
22°C
|
12:31
|
12:13
|
DODOMA
|
27°C
|
16°C
|
12:43
|
12:29
|
KIGOMA
|
29°C
|
17°C
|
01:05
|
12:54
|
MBEYA
|
22°C
|
07°C
|
12:58
|
12:32
|
MWANZA
|
30°C
|
18°C
|
12:48
|
12:45
|
TABORA
|
30°C
|
15°C
|
12:54
|
12:42
|
TANGA |
30°C
|
24°C
|
12:29
|
12:17
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
24°C
|
12:31
|
12:13
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 40 kwa saa; kutoka Kusini; kwa
Pwani ya Kaskazini na kutoka Kusini-Mashariki
kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi
makubwa.
Matazamio kwa siku ya
Alhamisi: 12/06/2014: Mabadiliko
kidogo
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 10/06/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.