WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 19/06/2014.
[Mkoa wa Mara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kagera na
Mwanza]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi,
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mikoa ya Tanga na Mtwara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kigoma Tabora, Dodoma
Singida na Shinyanga]:
[Mikoa ya Rukwa Ruvuma, Iringa,
Njombe na Mbeya,]:
[Mikoa ya Lindi, Morogoro, Dar
es Salaam na Pwani]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
ANGALIZO
UPEPO MKALI UNAOFIKIA KM 40 KWA SAA NA MAWIBI MAKUBWA YANAYOFIKIA
MITA 2.0 VINATARAJIWA KATIKA PWANI YA KUSINI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
15°C
|
12:36
|
12:30
|
D'SALAAM
|
32°C
|
20°C
|
12:31
|
12:13
|
DODOMA
|
28°C
|
14°C
|
12:43
|
12:29
|
KIGOMA
|
31°C
|
18°C
|
01:05
|
12:54
|
MBEYA
|
24°C
|
08°C
|
12:58
|
12:32
|
MWANZA
|
31°C
|
19°C
|
12:48
|
12:45
|
TABORA
|
31°C
|
15°C
|
12:54
|
12:42
|
TANGA |
30°C
|
24°C
|
12:29
|
12:17
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
24°C
|
12:31
|
12:13
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini kwa kasi
ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Kusini- Mashariki kwa kasi ya km 40 kwa saa kwa Pwani ya
Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi
makubwa kiasi hadi Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
21/06/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 19/06/2014.
Na: MAMLAKA
YA HALI YA HEWA TANZANIA.