WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 20/06/2014.
[Mikoa ya Mara, Kagera na
Mwanza]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi,
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dar es Salaam,Pwani,Tanga,Lindi
na Mtwara]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mikoa ya Mbeya na Iringa]
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Kigoma Tabora, Dodoma
Singida na Shinyanga]:
[Mikoa ya Rukwa, Ruvuma na Njombe]:
[Mkoa wa Morogoro
kaskazini]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi,
upepo na vipindi vya jua.
|
TAHADHARI
UPEPO MKALI UNAOZIDI KM 40 KWA SAA NA MAWIBI MAKUBWA YATAKAYOZIDI
MITA 2.0 VINATARAJIWA KATIKA UKANDA WOTE WA PWANI PAMOJA NA ZIWA VICTORIA.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
21°C
|
14°C
|
12:38
|
12:32
|
D'SALAAM
|
32°C
|
22°C
|
12:34
|
12:14
|
DODOMA
|
29°C
|
16°C
|
12:47
|
12:29
|
KIGOMA
|
29°C
|
18°C
|
01:09
|
12:55
|
MBEYA
|
23°C
|
07°C
|
01:00
|
12:34
|
MWANZA
|
29°C
|
17°C
|
12:50
|
12:49
|
TABORA
|
30°C
|
16°C
|
12:57
|
12:43
|
TANGA |
29°C
|
22°C
|
12:32
|
12:18
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
24°C
|
12:34
|
12:14
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 50 kwa saa; kutoka Kusini kwa Pwani ya
Kaskazini na kutoka Kusini- Mashariki kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi
Makubwa.
Matazamio kwa siku ya
Jumapili: 22/06/2014: Mabadiliko
kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 20/06/2014.
Na: MAMLAKA
YA HALI YA HEWA TANZANIA.