WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 24/06/2014.
[Mikoa ya Dar es Salaam Pwani
na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mkoa wa Mtwara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Mara na Kagera]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi,
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Tabora, Rukwa,
Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe
na Ruvuma]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Kigoma,
Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Lindi na
Morogoro]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
ANGALIZO
UPEPO MKALI UNAOFIKIA KM 40 KWA SAA NA MAWIBI MAKUBWA YATAKAYOZIDI
MITA 2.0 VINATARAJIWA KATIKA UKANDA WOTE WA PWANI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
21°C
|
15°C
|
12:38
|
12:32
|
D'SALAAM
|
30°C
|
20°C
|
12:34
|
12:14
|
DODOMA
|
26°C
|
15°C
|
12:47
|
12:29
|
KIGOMA
|
31°C
|
19°C
|
01:09
|
12:55
|
MBEYA
|
20°C
|
07°C
|
01:00
|
12:34
|
MWANZA
|
30°C
|
18°C
|
12:50
|
12:49
|
TABORA
|
29°C
|
16°C
|
12:57
|
12:43
|
TANGA |
30°C
|
22°C
|
12:32
|
12:18
|
ZANZIBAR
|
28°C
|
23°C
|
12:34
|
12:14
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini
kwa kasi ya km 40 kwa saa kwa Pwani ya
Kaskazini na kutoka Kusini-Mashariki
kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya
Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa
kiasi hadi Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Alhamisi:
26/06/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 24/06/2014.
Na: MAMLAKA
YA HALI YA HEWA TANZANIA.