WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 27/06/2014.
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mkoa wa Tanga]
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa
ya Mara na Kagera]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi,
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Morogoro, Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani
Mtwara na Lindi na]:
[Mikoa ya Kigoma, Geita,
Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Tabora, Rukwa,
Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe
na Ruvuma]:
[Mikoa ya Simiyu na
Katavi]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
13°C
|
12:38
|
12:32
|
D'SALAAM
|
29°C
|
19°C
|
12:34
|
12:14
|
DODOMA
|
26°C
|
15°C
|
12:47
|
12:29
|
KIGOMA
|
30°C
|
16°C
|
01:09
|
12:55
|
MBEYA
|
24°C
|
07°C
|
01:00
|
12:34
|
MWANZA
|
30°C
|
16°C
|
12:50
|
12:49
|
TABORA
|
29°C
|
16°C
|
12:57
|
12:43
|
TANGA |
29°C
|
21°C
|
12:32
|
12:18
|
ZANZIBAR
|
27°C
|
21°C
|
12:34
|
12:14
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka Kusini kwa Pwani ya
Kaskazini na kutoka Kusini-Mashariki
katika Pwani ya
Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa
kiasi.
Matazamio kwa siku ya
Jumapili: 29/06/2014: Mabadiliko
kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 27/06/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA