WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 06/06/2014.
[Mikoa ya Mara, Kagera na Mwanza]:
[Mkoa wa Kigoma]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mkoa wa Tanga]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Shinyanga na
Tabora]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, ngurumo
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mkoa wa Morogoro (kaskazini)
na Morogoro (Kusini)]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Ruvuma, Rukwa,
Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Njombe, Lindi na
Mtwara]:
[Mikoa ya Mbeya na Iringa]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
TAHADHARI:
UPEPO MKALI UNAOFIKA
KM 40 KWA SAA UNATARAJIWA KATIKA UKANDA WA PWANI YOTE.TAFADHALI CHUKUWA
TAHADHARI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
16°C
|
12:35
|
12:28
|
D'SALAAM
|
30°C
|
21°C
|
12:30
|
12:11
|
DODOMA
|
29°C
|
18°C
|
12:42
|
12:27
|
KIGOMA
|
31°C
|
21°C
|
01:04
|
12:53
|
MBEYA
|
25°C
|
08°C
|
12:56
|
12:31
|
MWANZA
|
23°C
|
17°C
|
12:47
|
12:43
|
TABORA
|
30°C
|
17°C
|
12:52
|
12:41
|
TANGA |
26°C
|
23°C
|
12:27
|
12:16
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
24°C
|
12:30
|
12:11
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa
kasi ya km 40 kwa saa; kutoka Kusini kwa Pwani
ya Kaskazini na kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kusini
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi
makubwa.
Matazamio kwa siku ya
Jumapili: 08/06/2014: Mabadiliko
kidogo
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 06/06/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.