Meneja
Mradi wa Mazingira UNDP, Helene Gichenje akifafanua jambo kwa wadau wa
mazingira wakati wa mkutano wa kujadili ripoti ya awali juu utayari wa
Tanzania katika kupokea na kutumia fedha za misaada za kupambana na
mabadiliko ya tabianchi
Msimamizi wa masuala ya mabadiliko ya tabinachi wa UNDP, Abbas Kitogo akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa kujadili ripoti ya awali juu utayari wa Tanzania
katika kupokea na kutumia fedha za misaada za kupambana na mabadiliko ya
tabianchi
Baadhi ya wadau wa mazingira waliohudhuria mkutano wa kujadili ripoti ya awali juu utayari wa Tanzania
katika kupokea na kutumia fedha za misaada za kupambana na mabadiliko ya
tabianchi
Meneja Miradi wa Forum CC, Fazal Issa akifuatilia mjadala
Mtaalamu wa masuala ya mabadiliko ya tabianchi Damian Kasmiri, ambaye alikuwa mwezeshaji katika mkutano huo akifafanua baadhi ya masuala kwa wadau wa mazingira
Picha zote na tabianchi blog