WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 02/07/2014.
[Mikoa ya Tanga, Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
[Mikoa ya Kigoma, Tabora,
Rukwa, Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Kagera, Geita,
Mara, Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe,
Simiyu na Katavi]:
[Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani
na Morogoro]:
[Mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA
JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
20°C
|
14°C
|
12:41
|
12:35
|
D'SALAAM
|
31°C
|
19°C
|
12:36
|
12:18
|
DODOMA
|
26°C
|
14°C
|
12:48
|
12:34
|
KIGOMA
|
29°C
|
16°C
|
01:11
|
12:59
|
MBEYA
|
21°C
|
04°C
|
01:03
|
12:37
|
MWANZA
|
29°C
|
16°C
|
12:53
|
12:50
|
TABORA
|
29°C
|
15°C
|
12:59
|
12:47
|
TANGA |
29°C
|
22°C
|
12:34
|
12:22
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
23°C
|
12:36
|
12:18
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka Kusini kwa Pwani ya
Kaskazini
na kutoka Kusini-Mashariki
kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa
kiasi.
Matazamio kwa siku ya Ijumaa:
04/07/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 02/07/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.