WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 25/08/2014.
[Mikoa ya Mara, Shinyanga,
Mwanza na Kagera]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Kigoma na
Tabora]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mkoa wa Ruvuma]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Pwani, Dar Es
Salaam, Morogoro na Tanga]:
[Mikoa ya Lindi, Mtwara,
Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Rukwa, Katavi,
Mbeya na Iringa]:
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA
NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
27°C
|
14°C
|
12:38
|
12:37
|
D'SALAAM
|
30°C
|
19°C
|
12:30
|
12:22
|
DODOMA
|
27°C
|
17°C
|
12:43
|
12:37
|
KIGOMA
|
29°C
|
21°C
|
01:06
|
01:02
|
MBEYA
|
26°C
|
09°C
|
12:55
|
12:43
|
MWANZA
|
25°C
|
18°C
|
12:51
|
12:51
|
TABORA
|
30°C
|
20°C
|
12:54
|
12:50
|
TANGA |
28°C
|
21°C
|
12:29
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
21°C
|
12:30
|
12:22
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kutoka
Kusini kwa Pwani ya
Kaskazini na
kwa kasi ya km 40 kwa saa kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani
ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi hadi Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Jumatano:
27/08/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 25/08/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.