Mkutano wa Mwaka wa Wadau wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi wafanyika jijini Dar es Salaam

ForumCC imewakutanisha wadau wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi kutoka Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar katika Mkutano Mkuu wa Mwaka... thumbnail 1 summary
ForumCC imewakutanisha wadau wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi kutoka Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar katika Mkutano Mkuu wa Mwaka ili kutoa ripoti ya mafanikio na kujadili changamoto zilizopo katika kupambana na mabadiliko ya tabianchi
 Picha ya pamoja ya wadau wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi waliohudhuria Mkutano wa wadau wa mambo hayo uliofanyika British Council jijini Dar es Salaa
Mjumbe wa Bodi ya ForumCC, Vera Florida Mugittu akitoa mada wakati wa Mkutano wa Wadau wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi uliofanyika British Council jijini Dar es Salaa
Simon na Timon kutoka KAS Ujerumani na Afisa Mawasiliano wa ForumCC, Tajiel Urioh (katikati) wakifuatilia mada wakati wa Mkutano Mkuu wa Wadau wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi uliofanyika British Council jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa bodi ya ForumCC, Euster Kibona akifafanua jambo kwa washiriki wa mkutano huo
Afisa Miradi ForumCC, Fazal Issa akichangia Mada wakati wa mkutano huo uliowashirikisha wadau mbalimbali wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi kutoka Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar
Mwakilishi wa Vijana wanaofanyakazi na ForumCC, Adam Antony akichangia mada
 Wadau wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi wakifuatilia mada mbalimbali
Afisa Mazingira Idara ya Mazingira ya Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira, Juma Limbe akifafanua jambo kwa wadau wa mazingira na mabadiliko ya Tabianchi
Wadau wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi wakifuatilia mada mbalimbali
Balozi wa ForumCC, Fredina Said Kutoka Shinyanga akichangia mada
Marc Wegerif Mjumbe wa Bodi ya ForumCC akifafanua jambo. Picha zote na Tabianchi Blog