WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 03/09/2014.
[Mikoa ya Kagera, Mara,
Mwanza na Geita]:
[Mikoa ya Kigoma na Shinyanga]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na
ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Njombe, Mbeya na Tanga]:
[Mikoa ya Dar es Salaam na
Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Morogoro, Tabora,
Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Ruvuma, Mtwara na
Lindi]:
[Mikoa ya Rukwa na Iringa]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
ANGALIZO
VIPINDI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA
MAENEO YA MIKOA YA MARA NA MWANZA.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA
MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
22°C
|
15°C
|
12:33
|
12:35
|
D'SALAAM
|
30°C
|
19°C
|
12:24
|
12:22
|
DODOMA
|
27°C
|
16°C
|
12:38
|
12:36
|
KIGOMA
|
28°C
|
19°C
|
01:02
|
01:02
|
MBEYA
|
21°C
|
10°C
|
12:49
|
12:43
|
MWANZA
|
25°C
|
18°C
|
12:47
|
12:49
|
TABORA
|
26°C
|
19°C
|
12:50
|
12:48
|
TANGA |
26°C
|
20°C
|
12:25
|
12:23
|
ZANZIBAR
|
28°C
|
22°C
|
12:24
|
12:22
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi
ya km 30 kwa Pwani yote.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Ijumaa:
05/09/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 03/09/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.