WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 25/09/2014.
[Mikoa ya Kagera na Geita]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Mara na Mwanza]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi,
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Sehemu za miinuko ya Mikoa
ya Mbeya, Iringa na Njombe]:
[Mikoa ya Morogoro, Dar es
Salaam , Tanga na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Singida,
Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Mtwara, Ruvuma, Tabora
na Dodoma]:
[Mikoa ya Lindi, Rukwa, Kigoma
na Shinyanga]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA
NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
25°C
|
14°C
|
12:24
|
12:30
|
D'SALAAM
|
31°C
|
21°C
|
12:13
|
12:19
|
DODOMA
|
30°C
|
17°C
|
12:27
|
12:33
|
KIGOMA
|
31°C
|
18°C
|
12:51
|
12:57
|
MBEYA
|
26°C
|
08°C
|
12:36
|
12:41
|
MWANZA
|
30°C
|
18°C
|
12:38
|
12:44
|
TABORA
|
32°C
|
19°C
|
12:39
|
12:45
|
TANGA |
30°C
|
22°C
|
12:14
|
12:20
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
22°C
|
12:13
|
12:19
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki; kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa
Pwani
ya Kaskazini na kwa
kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Madogo hadi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
27/09/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 25/09/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.