Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akiteta jambo na Mhifadhi Mkuu Arusha National Park,Betrita Loibook. |
Waziri
wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza na Mbunge wa jimbo
la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassar walipokutana katika Hifadhi ya Taifa
ya Arusha na kumshawishi kutembelea hosptali ya Africa Amini Hearing
Center. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA |