WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 30/10/2014.
[Mikoa ya Kigoma, Mara, Kagera,
Geita na Mwanza]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani na Morogoro]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua
katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
[ Mikoa ya Iringa, Rukwa,
Mbeya na Njombe]:
[Mikoa ya Lindi, Mtwara na
Ruvuma]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Singida, Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Dodoma, Shinyanga,
Tabora na Katavi]
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
28°C
|
14°C
|
12:13
|
12:23
|
D'SALAAM
|
32°C
|
22°C
|
11:59
|
12:15
|
DODOMA
|
31°C
|
19°C
|
12:14
|
12:29
|
KIGOMA
|
29°C
|
21°C
|
12:39
|
12:52
|
MBEYA
|
27°C
|
16°C
|
12:21
|
12:39
|
MWANZA
|
29°C
|
20°C
|
12:28
|
12:36
|
TABORA
|
32°C
|
20°C
|
12:27
|
12:40
|
TANGA |
31°C
|
22°C
|
12:02
|
12:15
|
ZANZIBAR
|
32°C
|
23°C
|
11:59
|
12:15
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka Kusini-Mashariki; kwa Pwani
ya Kusini na kutoka Kusini kwa Pwani ya
Kaskazini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
01/11/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe: 30/10/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.