Maonyesho ya wiki tatu kupinga ujangili kufanyika Goethe Institut Dar es Salaam

Kituo cha Utamaduni cha Ujerumani cha Goethe Institut Tanzania kitakuwa mwenyeji wa maonyesho ya wiki tatu ya kupinga ujangili yaliyop... thumbnail 1 summary
Kituo cha Utamaduni cha Ujerumani cha Goethe Institut Tanzania kitakuwa mwenyeji wa maonyesho ya wiki tatu ya kupinga ujangili yaliyopewa jina la UJANGILI, yaliyoandaliwa na Msanii Vita Malulu kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA)

Maonyesho hayo yataanza kufanyika Alhamisi ya November 13, 2014 kuanzia saa moja jioni