WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO. TAREHE 11/11/2014.
[Mikoa ya Kagera, Geita na Kigoma]:
[Mikoa ya
Mwanza na Mara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo
machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dar es Salaam na
Morogoro]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo
na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mkoa wa Ruvuma]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua katika baadhi ya maeneo na
vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Iringa, Rukwa,
Mbeya, Njombe na Pwani]:
[Mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara ]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Shinyanga na
Tabora]:
[Mikoa ya Dodoma na
Singida]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
28°C
|
18°C
|
12:13
|
12:24
|
D'SALAAM
|
31°C
|
25°C
|
11:57
|
12:18
|
DODOMA
|
32°C
|
20°C
|
12:12
|
12:31
|
KIGOMA
|
21°C
|
22°C
|
12:37
|
12:54
|
MBEYA
|
27°C
|
15°C
|
12:17
|
12:44
|
MWANZA
|
30°C
|
20°C
|
12:28
|
12:37
|
TABORA
|
31°C
|
22°C
|
12:25
|
12:42
|
TANGA |
29°C
|
25°C
|
12:00
|
12:17
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
24°C
|
11:57
|
12:18
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kwa kasi ya km 20 kwa saa kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani
yote.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo.
Matazamio kwa siku ya Alhamisi:
13/11/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 11/11/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.