WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
[Mikoa ya Mwanza , Kagera, Geita, Tabora na Kigoma]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya
maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Mara,
Shinyanga na Rukwa]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo
machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya
Kilimanjaro, Arusha na Manyara ]:
[Mikoa ya
Tanga, Iringa, Mbeya na Njombe]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Singida, Morogoro, Dar es Salaam na
Pwani]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache
na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dodoma, Ruvuma, Lindi na Mtwara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
TAREHE 19/11/2014.
ANGALIZO
VIPINDI
VYA MVUA KUBWA VINATEGEMEWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA MIKOA YA KIGOMA NA
TABORA
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
28°C
|
17°C
|
12:13
|
12:24
|
D'SALAAM
|
32°C
|
23°C
|
11:57
|
12:18
|
DODOMA
|
32°C
|
19°C
|
12:12
|
12:31
|
KIGOMA
|
29°C
|
21°C
|
12:37
|
12:54
|
MBEYA
|
28°C
|
17°C
|
12:17
|
12:44
|
MWANZA
|
29°C
|
20°C
|
12:28
|
12:37
|
TABORA
|
33°C
|
19°C
|
12:25
|
12:42
|
TANGA |
31°C
|
23°C
|
12:00
|
12:17
|
ZANZIBAR
|
32°C
|
23°C
|
11:57
|
12:18
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya
Kaskazini na kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo hadi makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Ijumaa:
21/11/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 19/11/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.