WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax:
2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA
24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
[Mikoa ya Mwanza, Kagera, Geita na Mara]:
[Mikoa ya Kigoma na
Tabora]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo
machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Rukwa,
Iringa, Mbeya na Njombe]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache
na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya
Tanga, Morogoro, Dar es Salaam na Pwani]:
[Mikoa ya
Singida, Kilimanjaro, Arusha na Manyara]
[Mikoa ya Dodoma, Ruvuma na Shinyanga]:
[Visiwa vya
Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
|
TAREHE 25/11/2014.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
28°C
|
14°C
|
12:12
|
12:26
|
D'SALAAM
|
34°C
|
23°C
|
11:55
|
12:21
|
DODOMA
|
32°C
|
19°C
|
12:11
|
12:33
|
KIGOMA
|
28°C
|
19°C
|
12:37
|
12:55
|
MBEYA
|
27°C
|
12°C
|
12:16
|
12:46
|
MWANZA
|
27°C
|
19°C
|
12:28
|
12:39
|
TABORA
|
29°C
|
18°C
|
12:25
|
12:43
|
TANGA |
33°C
|
23°C
|
12:00
|
12:18
|
ZANZIBAR
|
32°C
|
24°C
|
11:55
|
12:21
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kwa kasi ya km 20 kwa saa; kutoka
Kusini -Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini na kasi ya km 30
kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo hadi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Alhamis:
27/11/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 25/11/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.