WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
[Mikoa ya
Mwanza, Kagera, Geita na Shinyanga
]:
[Mikoa ya
Kigoma, Rukwa na Tabora]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika baadhi
ya maeneo na vipindi vya jua.
|
[Mkoa wa Mara]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo machache
na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]
[Mkoa wa
Ruvuma na Morogoro kusini]:
[Mikoa ya Mbeya,
Iringa na Njombe]:
[Mikoa ya Singida, Dodoma]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Lindi
na Mtwara ]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache
na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Tanga, Dar es Salaam na Pwani]:
[Mkoa wa Morogoro (kaskazini) ]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
TAREHE 27/11/2014.
ANGALIZO
1.
VIPINDI VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO YA UKANDA WA ZIWA
VICTORIA.
2.
UPEPO MKALI UNAOFIKIA KM40 KWA SAA UNATARAJIWA KATIKA MAENEO YA UKANDA WA ZIWA
VICTORIA: TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA
MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
28°C
|
15°C
|
12:12
|
12:26
|
D'SALAAM
|
35°C
|
24°C
|
11:55
|
12:21
|
DODOMA
|
33°C
|
21°C
|
12:11
|
12:33
|
KIGOMA
|
25°C
|
19°C
|
12:37
|
12:55
|
MBEYA
|
28°C
|
15°C
|
12:16
|
12:46
|
MWANZA
|
27°C
|
18°C
|
12:28
|
12:39
|
TABORA
|
29°C
|
18°C
|
12:25
|
12:43
|
TANGA |
33°C
|
23°C
|
12:00
|
12:18
|
ZANZIBAR
|
33°C
|
25°C
|
11:55
|
12:21
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kwa kasi ya km 20 kwa saa; kutoka
Kusini kwa Pwani ya
Kaskazini na
kutoka Kusini -Mashariki kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
29/11/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 27/11/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.