WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 13/12/2014.
[Mikoa ya Kigoma, Tabora, Katavi na Rukwa]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo
machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Mwanza, Kagera, Mara na Shinyanga]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, ngurumo katika maeneo
machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga na Morogoro]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
[Mikoa ya Mbeya, Iringa na Njombe]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo
machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dodoma, Singida na Ruvuma]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
27°C
|
15°C
|
12:21
|
12:35
|
D'SALAAM
|
33°C
|
23°C
|
12:02
|
12:32
|
DODOMA
|
32°C
|
20°C
|
12:18
|
12:44
|
KIGOMA
|
28°C
|
19°C
|
12:44
|
01:06
|
MBEYA
|
27°C
|
14°C
|
12:22
|
12:58
|
MWANZA
|
29°C
|
19°C
|
12:36
|
12:48
|
TABORA
|
31°C
|
18°C
|
12:32
|
12:54
|
TANGA |
32°C
|
23°C
|
12:07
|
12:29
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
24°C
|
12:02
|
12:32
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kutoka Kaskazini-Mashariki kwa
kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani yote.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo.
Matazamio kwa siku ya Jumatatu:
15/12/2014: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 13/12/2014.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.