WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 22/01/2015.
[Mikoa ya Rukwa, Mbeya,
Iringa na Njombe]:
[Mkoa wa Ruvuma]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na
ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Morogoro, Dodoma
na Singida]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Dar es Salaam,
Tanga na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Mara, Shinyanga
na Mwanza]:
[Mikoa ya Tabora Kigoma na
Katavi]:
[Mikoa ya Geita na Kagera]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
ANGALIZO
VIPINDI
VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO YA MIKOA YA RUKWA,MBEYA,IRNGA
NA NJOMBE.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA
MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
27°C
|
16°C
|
12:38
|
12:52
|
D'SALAAM
|
33°C
|
25°C
|
12:21
|
12:47
|
DODOMA
|
27°C
|
19°C
|
12:37
|
12:59
|
KIGOMA
|
23°C
|
20°C
|
01:02
|
01:22
|
MBEYA
|
24°C
|
15°C
|
12:41
|
01:13
|
MWANZA
|
28°C
|
19°C
|
12:53
|
01:05
|
TABORA
|
22°C
|
17°C
|
12:50
|
01:10
|
TANGA |
31°C
|
24°C
|
12:25
|
12:45
|
ZANZIBAR
|
32°C
|
25°C
|
12:21
|
12:47
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka
Kaskazini-Mashariki Pwani ya
Kaskazini na kutoka
Kaskazini kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
24/01/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 22/01/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.