Taarifa kutoka Mwanza Airport ni kuwa kuna ndege ya Jeshi imelipuka na kuteketea.
Rubani wa ndege hii, ndg Peter Augustino kafanikiwa kuruka kwa parachuti
na kunusurika ingawa inadaiwa kavunjika mguu na kukimbizwa hospitali.
Taarifa zaidi zinafuata
Chanzo: JF