WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 09/02/2015.
[Mikoa ya Mbeya,
Iringa Njombe na Morogoro(Kusini)]:
[Mikoa ya Kigoma, Tabora, Ruvuma,
Rukwa na Katavi]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kagera, Geita ,Mara, Shinyanga na Mwanza]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, ngurumo
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dodoma na Singida]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Morogoro(Kaskazini)
Dar es Salaam, Tanga na Pwani]:
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro
na Manyara]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mikoa ya Mtwara na Lindi]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA
MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
31°C
|
15°C
|
12:41
|
12:54
|
D'SALAAM
|
33°C
|
26°C
|
12:26
|
12:47
|
DODOMA
|
33°C
|
19°C
|
12:41
|
01:00
|
KIGOMA
|
30°C
|
21°C
|
01:06
|
01:23
|
MBEYA
|
24°C
|
15°C
|
12:47
|
01:13
|
MWANZA
|
31°C
|
20°C
|
12:56
|
01:07
|
TABORA
|
27°C
|
18°C
|
12:54
|
01:11
|
TANGA |
33°C
|
24°C
|
12:29
|
12:46
|
ZANZIBAR
|
34°C
|
26°C
|
12:26
|
12:47
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kutoka Kaskazini-Mashariki; kwa
kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na Kwa kasi
ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo hadi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumatano:
11/02/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 09/02/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.