WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 17/02/2015.
[Mikoa ya Mbeya, Iringa,
Rukwa, Katavi na Njombe]:
[Mikoa ya Morogoro(kusini),
Mtwara na Ruvuma]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na
ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Tabora na Kigoma]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dodoma, Lindi na
Singida]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Geita, Kigoma, Shinyanga
na Mwanza]:
[Mikoa ya Mara na Kagera]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha, Manyara
na Kilimanjaro]:
[Mikoa ya
Morogoro(Kaskazini) na Tanga]:
[Mikoa ya Dar es Salaam na
Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
ANGALIZO;
VIPINDI VIFUPI VYA
MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA MAENEO YA MIKOA YA RUKWA, MBEYA, KATAVI, IRINGA,
NJOMBE, RUVUMA NA MOROGORO KUSINI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA
MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
30°C
|
17°C
|
12:42
|
12:53
|
D'SALAAM
|
34°C
|
24°C
|
12:28
|
12:46
|
DODOMA
|
29°C
|
21°C
|
12:42
|
01:00
|
KIGOMA
|
29°C
|
20°C
|
01:07
|
01:22
|
MBEYA
|
26°C
|
17°C
|
12:49
|
01:11
|
MWANZA
|
28°C
|
19°C
|
12:57
|
01:07
|
TABORA
|
29°C
|
19°C
|
12:55
|
01:10
|
TANGA |
32°C
|
24°C
|
12:30
|
12:45
|
ZANZIBAR
|
34°C
|
24°C
|
12:28
|
12:46
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
Kwa kasi ya km 30 kwa saa kutoka Kaskazini-Mashariki kwa Pwani
ya Kaskazini na
kutoka Kaskazini kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku yaAlhamisi:
19/02/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 17/02/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.