WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 19/03/2015.
[Mikoa ya Tanga, Dar es
Salaam, Pwani na Morogoro)]:
[Mikoa ya Ruvuma, Mtwara na
Lindi]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo
na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Kagera, Mwanza,
Shinyanga, Geita na Mara]:
[Mikoa ya Rukwa, Mbeya,
Iringa na Njombe]:
[Mikoa ya Kigoma na
Tabora]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo
machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Singida na
Dodoma]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
ANGALIZO:
VIPINDI
VIFUPI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA MIKOA YA DAR -ES
-SALAAM, PWANI, MOROGORO, RUVUMA, LINDI NA MTWARA
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango cha juu cha joto
|
Kiwango cha chini cha joto
|
Mawio (Saa)
|
Machweo (Saa)
|
ARUSHA
|
28°C
|
18°C
|
12:42
|
12:47
|
D'SALAAM
|
32°C
|
25°C
|
12:29
|
12:38
|
DODOMA
|
30°C
|
18°C
|
12:43
|
12:52
|
KIGOMA
|
29°C
|
21°C
|
01:07
|
01:14
|
MBEYA
|
23°C
|
15°C
|
12:52
|
12:59
|
MWANZA
|
33°C
|
20°C
|
12:59
|
01:01
|
TABORA
|
31°C
|
17°C
|
12:55
|
01:03
|
TANGA |
32°C
|
24°C
|
12:30
|
12:38
|
ZANZIBAR
|
32°C
|
25°C
|
12:29
|
12:38
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa Kwa Pwani
yote
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
21/03/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 19/03/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.