WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 11/04/2015.
[Mikoa ya Iringa, Njombe,
Mbeya, Katavi na Rukwa]:
[Mikoa ya Mwanza, Mara, Shinyanga,
Kagera na Geita]:
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Dodoma na
Singida]:
[Mikoa ya Kigoma na Tabora]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Tanga, Dar es Salaam,
Pwani na Morogoro]:
[Mikoa ya Ruvuma, Lindi na
Mtwara]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
26°C
|
18°C
|
12:35
|
12:36
|
D'SALAAM
|
34°C
|
24°C
|
12:26
|
12:23
|
DODOMA
|
31°C
|
20°C
|
12:40
|
12:37
|
KIGOMA
|
27°C
|
20°C
|
01:03
|
01:02
|
MBEYA
|
21°C
|
16°C
|
12:50
|
12:45
|
MWANZA
|
25°C
|
18°C
|
12:49
|
12:50
|
TABORA
|
28°C
|
18°C
|
12:51
|
12:50
|
TANGA |
32°C
|
24°C
|
12:26
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
25°C
|
12:26
|
12:23
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kutoka Kusini-Mashariki; kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya
Kaskazini na kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya
Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo hadi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumatatu:
13/04/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 11/04/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.