WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 19/05/2015.
[Mikoa ya Shinyanga, Mara,
Geita, Kagera na Mwanza]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Tanga, Dar es
Salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Rukwa, Mbeya,
Katavi, Iringa na Njombe]:
[Mikoa ya Ruvuma, Tabora,
Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Kigoma, Morogoro,
Mtwara na Lindi]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
ANGALIZO:
UPEPO MKALI
UNAOFIKIA KM 40 KWA SAA NA MAWIBI MAKUBWA YANAYOFIKIA MITA 2.0 VINATARAJIWA
KATIKA UKANDA WOTE WA PWANI.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA
MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
14°C
|
12:31
|
12:29
|
D'SALAAM
|
33°C
|
22°C
|
12:26
|
12:12
|
DODOMA
|
28°C
|
16°C
|
12:38
|
12:28
|
KIGOMA
|
31°C
|
19°C
|
01:01
|
12:53
|
MBEYA
|
20°C
|
8°C
|
12:51
|
12:33
|
MWANZA
|
28°C
|
19°C
|
12:44
|
12:44
|
TABORA
|
28°C
|
15°C
|
12:49
|
12:41
|
TANGA |
31°C
|
23°C
|
12:24
|
12:16
|
ZANZIBAR
|
31°C
|
25°C
|
12:26
|
12:12
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kutoka Kusini kwa kasi ya km 40 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini
na kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi ya km 40 kwa saa kwa Pwani ya
Kusini.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Alhamisi:
21/05/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 19/05/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.