Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa watafiti wa Kituo cha ‘Center For Climate Changes Styles’, Khalid Mwakobaa (kulia) na Rdith Benedict, wakati alipotembelea katika Mabanda ya maonesho kwenye Kongamano la Siku ya Tabianchi Afrika, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa kushirikiana na Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya, lililofanyika kwenye Ukumbi wa Nkhurumah Chuo Kikuu Dar es Salaam, jana.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Siku ya Tabianchi
Afrika, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa kushirikiana
na Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya. Kuongamano hilo lilifanyika jana
Juni 17, 2015 kwenye Ukumbi wa Nkhurumah Chuo Kikuu Dar es Salaam, jana.
Baadhi ya wadau na wanafunzi waliohudhuria Kongamano hilo,wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia.
Makamu
wa Rasi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu UDSM, baada ya kufungua
Kongamano la Siku ya Tabianchi Afrika, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha
Dar es Salaam kwa kushirikiana na Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya.
Kuongamano hilo lilifanyika jana Juni 17, 2015 kwenye Ukumbi wa
Nkhurumah Chuo Kikuu Dar es Salaam, jana. Picha na OMR.