WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 17/06/2015.
[Mikoa ya Mara, Mwanza,
Kagera, Shinyanga na Geita]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Tanga, Dar es Salaam,Morogoro na
Pwani]:
[Mikoa ya Manyara,
Kilimanjaro na Arusha]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Rukwa, Katavi, Mbeya, Iringa na
Njombe]:
[Mikoa ya Tabora, Kigoma,
Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Ruvuma, Mtwara na
Lindi]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
24°C
|
11°C
|
12:36
|
12:30
|
D'SALAAM
|
32°C
|
20°C
|
12:31
|
12:13
|
DODOMA
|
27°C
|
16°C
|
12:43
|
12:29
|
KIGOMA
|
29°C
|
20°C
|
01:05
|
12:54
|
MBEYA
|
24°C
|
06°C
|
12:58
|
12:32
|
MWANZA
|
29°C
|
18°C
|
12:48
|
12:43
|
TABORA
|
31°C
|
14°C
|
12:54
|
12:42
|
TANGA |
29°C
|
23°C
|
12:29
|
12:17
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
23°C
|
12:31
|
12:13
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma Kutoka Kusini-mashariki kwa kasi
ya km 20 kwa saa kwa
Pwani yote.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo.
Matazamio kwa siku ya Ijumaa:
19/06/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 17/06/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.