WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 25/06/2015.
[Mikoa ya Mara na Kagera]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na ngurumo
katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Mwanza, Geita,
Shinyanga, Tabora na Kigoma]:
[Mikoa ya Dodoma, Singida,
Ruvuma, Mtwara na Lindi]:
[Mikoa ya Tanga, Morogoro,
Dar es Salaam na Pwani]:
[Mikoa ya Rukwa, Katavi,
Mbeya, Iringa na Njombe]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Manyara
na Arusha]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
24°C
|
17°C
|
12:38
|
12:32
|
D'SALAAM
|
33°C
|
20°C
|
12:34
|
12:14
|
DODOMA
|
28°C
|
16°C
|
12:47
|
12:29
|
KIGOMA
|
31°C
|
20°C
|
01:09
|
12:55
|
MBEYA
|
23°C
|
07°C
|
01:00
|
12:34
|
MWANZA
|
28°C
|
20°C
|
12:50
|
12:49
|
TABORA
|
30°C
|
17°C
|
12:57
|
12:43
|
TANGA |
31°C
|
21°C
|
12:32
|
12:18
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
21°C
|
12:34
|
12:14
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma
kwa kasi ya km 30 kwa saa;kutoka Kusini kwa Pwani ya Kaskazini
na kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumamosi:
27/06/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 25/06/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.