WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 21/08/2015.
[Mkoa wa Kagera]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mkoa wa Mara]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi,
ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mkoa wa Tanga na Visiwa
vya Unguja na Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dar es Salaam,Pwani
na Morogoro(Kaskazini)]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha
na Manyara]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Katavi, Mbeya,
Kigoma, Tabora na Rukwa]:
[Mikoa ya Mtwara, Lindi,
Iringa, Njombe na Ruvuma]:
[Mikoa ya Dodoma, Singida
na Morogoro(Kusini)]:
[Mikoa ya Geita,Mwanza na
Shinyanga]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
13°C
|
12:38
|
12:37
|
D'SALAAM
|
30°C
|
19°C
|
12:30
|
12:22
|
DODOMA
|
28°C
|
16°C
|
12:43
|
12:37
|
KIGOMA
|
32°C
|
18°C
|
01:06
|
01:02
|
MBEYA
|
26°C
|
06°C
|
12:55
|
12:43
|
IRINGA
|
28°C
|
12°C
|
12:48
|
12:34
|
MWANZA
|
29°C
|
19°C
|
12:51
|
12:51
|
TABORA
|
33°C
|
17°C
|
12:54
|
12:50
|
TANGA |
28°C
|
22°C
|
12:29
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
22°C
|
12:30
|
12:22
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi
ya km 30 kwa saa kwa Pwani
yote.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa Kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumapili:
23/08/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 21/08/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.