Simba wavamia gari la watalii Serengeti National Park, watoboa matairi ya gari kwa meno

Kuna hali ambayo unaweza kusikia mwenyewe ndani ya nafsi yako endapo utajikuta kwenye zahma ya kuvamiwa na simba. hivyo ndivyo ilikuwa kw... thumbnail 1 summary
Kuna hali ambayo unaweza kusikia mwenyewe ndani ya nafsi yako endapo utajikuta kwenye zahma ya kuvamiwa na simba. hivyo ndivyo ilikuwa kwa watalii hawa kwenye Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambapo simba wenye njaa kali walivamia gari lao.
Lions destroy tires and attempt to shatter windows to get at the humans inside.  
Simba walianza kung'ata matairi na walifanikiwa kutia pancha matairi hayo huku wakitumia muda mwingi kukwarua vioo ili wafanikishe azma yao ya kula nyama ya binadamu. lakini kwa bahati nzuri walishindwa.

Muongoza watalii Emmanuel Bayo kutoka Arusha ambaye alishuhudia tukio hilo anasema hali ilikuwa mbaya zaidi kwa watalii ndani ya gari.
Lions tried to eat the tires of the safari truck.