Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano January Makamba
akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka
wa fedha 2016/2017 leo Bungeni mjini Dodoma.
Baadhi
ya Wabunge wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa
Rais, Mazingira na Muungano January Makamba (hayupo pichani) alipokuwa
akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa
fedha 2016/2017 leo Bungeni mjini Dodoma.
(Picha na Eleuteri
Mangi, MAELEZO, Dodoma).