SERIKALI NA TIB ZA SAINI MKATABA UJENZI WA SOKO LA KIMATAIFA KILIMANJARO

 M wakilishi  wa Benki ya TIB,  Bw. Allan Magoma akiongea kwenye hafla hiyo   Katibu tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Faisal Issa(kulia) n... thumbnail 1 summary
 Mwakilishi wa Benki ya TIB,  Bw. Allan Magoma akiongea kwenye hafla hiyo
 Katibu tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Faisal Issa(kulia) na mwakilishi wa Benki ya TIB, Allan Magoma wakitiliana saini mkataba wa ujenzi wa soko la kisasa la Okolova wilayani Moshi, litakalogharimu kiasi cha shilingi bilioni 10. Waziri wa masuala ya Jumuiya ya Afrika mashariki Mhe Samwel Sitta, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe Leonidas Gama na Mkuu wa Wilaya ya Moshi Dkt. Ibrahim Msengi wakishuhudia
 Kubadilishana nyaraka
 Waziri wa jumuiya ya Afrika mashariki Mhe Samwel Sitta ambaye alishuhudua zoezi la utilianjai saini akizungumza mara baada ya kuangalia michoro ya ujenzi wa soko hilo.
Mchoro wa soko hilo ikioneshwa.
Chanzo: Kilimanjaro yetu