Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania kupitia TBC imetoa tahadhari kwa watanzania wote kuwa kuanzia Oct ...
21:38
Mamlaka
ya hali ya hewa Tanzania kupitia TBC imetoa tahadhari kwa watanzania
wote kuwa kuanzia Oct 8 - Oct 11 2012 kutakuwa na mvua kubwa. Taarifa
hii ilisomwa leo kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku ya TBC TV.
Maeneo ambayo mvua hiyo inatarajia kunyesha hayakutajwa. Hivyo
watanzania wote tunatakiwa kuchukua tahadhari juu ya hili.