TANZANIA IKO TAYARI KUTUMIA NISHATI YA NYUKLIA? NINI FAIDA NA MADHARA YAKE? MSIKIE MKURUGENZI MKUU WA TUME YA ‘ATOMIC ENERGY’ TANZANIA IDD MKILAHA AKIJIBU MASWALI HAYA

Tanzania imebarikiwa sana kwa kuwa na nishati mbalimbali za madini, mafuta na gesi lakini baadhi ya Baraka hizi zinaonekana kuwa na hatari k... thumbnail 1 summary
Tanzania imebarikiwa sana kwa kuwa na nishati mbalimbali za madini, mafuta na gesi lakini baadhi ya Baraka hizi zinaonekana kuwa na hatari kwa jamii endapo hazitatumiwa kwa uangalifu hasa kwa kukosa usimamizi makini na udhibiti wa uharibifu wa mazingira, bonyeza hapo chini ili kumsikia Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Nyuklia (Atomic Energy) Tanzania, Idd Mkilaha akieleza kwa undani nafasi ya Tanzania katika kutumia nishati hiyo, faida na hasara zake kwa jamii na mazingira