Video: Mtoto wa miaka 8 apanda Mlima Kilimanjaro, samaki hukunjwa angali mbichi

Tyler Amstrong mtoto wa miaka 8 amejikuta akipenda kupanda milima mbalimbali ulimwenguni kutokana na kuvutika na jambo hilo alilolianza aki... thumbnail 1 summary
Tyler Amstrong mtoto wa miaka 8 amejikuta akipenda kupanda milima mbalimbali ulimwenguni kutokana na kuvutika na jambo hilo alilolianza akiwa na umri wa mika saba.
Akiwa na miaka saba alipanda mlima Whitney na kumfanya kuwa mpanda mlima mdogo kuwahi kupanda mlima huo ulioko Calfonia Marekani kwa siku moja.

Mwezi wa saba mwaka huu alipanda mlima Kilimanjaro ambapo wasaidizi na wabeba mizigo ya wapanda mlima walilazimika kumwimbia nyimbo mbalimbali kama pongezi kwake.