(Hii ni huduma mpya kutoka tabianchi, sasa mtandao huu pia utakuwa ukikuletea taarifa za mambo ya usafiri kwa ujumla wake)
-----------------------------------------------------------------------------------------------------------
Abiria wanaosafiri kwa kutumia mabasi nchini bado
wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kutokuwa na taarifa za kutosha kuhusu
usafiri huo
Hasa linapofika swala zima la nauli, tatizo kubwa
lipo kwa abiria ambao kila siku wamejikuta wakilipa nauli zaidi ya zilizopangwa
wakati wa kukata tiketi, pengine ni kutokana na kutokuwa na uelewa kabisa nauli
ni shilingi ngapi katika safari zao.
Ili kuondoa usumbufu huo nimeona nikuletee nauli mpya za mabasi katika
maeneo mbalimbali ndani na kwenda nje ya mkoa wako